Siku za hivi karibuni msanii Joti aliweka mtandaoni picha akiwa na binti yake. Watu wengi walidhani huyo binti ni mtoto wa joti na mkewe ila mchekeshaji steve nyerere kwa kukurupuka kaandika mtandaoni maneno yaliyomuibua mama mzazi wa mtoto wa joti. Maneno ya steve yanaashiria kuwa mama mtoto hajui malezi bora kwa mwanae ndio maana joti hakumuoa
Post ya steve
View attachment 620763
Post ya povu la mama mtoto
View attachment 620764 ila Mimi ni muongo na kahaba
Si wasisiemu huyooSteve ana tabia za kike sana
Umemaliza kbs!!Si wasisiemu huyoo