Kiherehere champonza Steve Nyerere, ashushuliwa na mzazi mwenzake na Joti

Numbisa

JF-Expert Member
Dec 12, 2016
264,065
1,075,507
Siku za hivi karibuni msanii Joti aliweka mtandaoni picha akiwa na binti yake. Watu wengi walidhani huyo binti ni mtoto wa joti na mkewe ila mchekeshaji steve nyerere kwa kukurupuka kaandika mtandaoni maneno yaliyomuibua mama mzazi wa mtoto wa joti. Maneno ya steve yanaashiria kuwa mama mtoto hajui malezi bora kwa mwanae ndio maana joti hakumuoa
Post ya steve
22857921_125655214790702_1898923939141255168_n.jpg


Post ya povu la mama mtoto
22860467_1547433505363815_2664009188249698304_n.jpg
 
Siku za hivi karibuni msanii Joti aliweka mtandaoni picha akiwa na binti yake. Watu wengi walidhani huyo binti ni mtoto wa joti na mkewe ila mchekeshaji steve nyerere kwa kukurupuka kaandika mtandaoni maneno yaliyomuibua mama mzazi wa mtoto wa joti. Maneno ya steve yanaashiria kuwa mama mtoto hajui malezi bora kwa mwanae ndio maana joti hakumuoa
Post ya steve
View attachment 620763

Post ya povu la mama mtoto
View attachment 620764 ila Mimi ni muongo na kahaba
 
halafu alivyo hajui kiswahili
"eti tumekuwa tukikariri unayezaa naye ndio mama bora kumbe sio kweli"
so inamaana kwamba wanawake wote mnao zaa nao sio mama bora, yaani hata huyu aliyeolewa kama akizaa na joti naye atakuwa sio mama bora!
alipaswa kusema sio mara zote ni ukweli?
 
Ntarudi baadae ngoja nimtafutie lazaro Nyalandu kiti cha kulumzika kwanza.
 
steve ndiye mwalimu wa uzalendo Tanzania na msemaji mkuu wa ccm academia kwahyo ukisema akili yake ni fupi kama yeye sasa hao wa chama chake waliompa jukukumu kubwa tuwaiteje..................
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom