Salary Slip
JF-Expert Member
- Apr 3, 2012
- 47,028
- 144,382
Mh.Hamisi Kigwangwala amesema si sahihi kuweko ukomo kwa mbunge kugombea jimbo fulani kwani wenye maamuzi ni wananchi.
Katika kutetea hoja yake hiyo,mh.Kigwangala amesema hata mataifa ambayo ni vinara wa demokrasia duniani kama Marekani na Uingereza,mbunge anaweza kudumu(kuchaguliwa) hata kwa muda wa miaka 30.
Wakati huo huo, mh.Mnyika ameunga mkono kuwepo kwa ukomo wa vipindi vitatu.
Kuhusu posho,Kigwangala amekataa kabisa kuzungumzia posho kwa maelezo sio hoja ya msingi.Kwa upande wa Mnyika,yeye amepinga posho hiyo ya 300,000 na kusema wasihukumiwe wabunge wote kwa hoja hiyo.
CHANZO:Star tv
MY TAKE:
kuna tofauti kubwa sana ya wabunge wa CCM na CHADEMA.
Tafakari na utajionea mwenyewe ni nani mbunge kimeo hapo.
Katika kutetea hoja yake hiyo,mh.Kigwangala amesema hata mataifa ambayo ni vinara wa demokrasia duniani kama Marekani na Uingereza,mbunge anaweza kudumu(kuchaguliwa) hata kwa muda wa miaka 30.
Wakati huo huo, mh.Mnyika ameunga mkono kuwepo kwa ukomo wa vipindi vitatu.
Kuhusu posho,Kigwangala amekataa kabisa kuzungumzia posho kwa maelezo sio hoja ya msingi.Kwa upande wa Mnyika,yeye amepinga posho hiyo ya 300,000 na kusema wasihukumiwe wabunge wote kwa hoja hiyo.
CHANZO:Star tv
MY TAKE:
kuna tofauti kubwa sana ya wabunge wa CCM na CHADEMA.
Tafakari na utajionea mwenyewe ni nani mbunge kimeo hapo.