Kigwangala umeonja selo mara 1 tu unalalamika hivyo? Mbona wakati Tundu Lissu anaeleza maovu ya polisi na uonevu wao kwa raia mlimzomea na kumpa majina kuwa kazi yake ni kulalamika tu? Ulidhani kutetea wanyonge ni kazi rahisi? Huwezi kuwa CCM ukatetea wanyonge. Wazee wa intelijensia watakutia kashkash tu maana unawachanganya wanadhani wewe ni chadema. CCM hakuna mambo hayo. Welcome to the real world!