Nashauri kwamba,njia mojawapo ya kuitambulisha mbuga hii ni kulazimisha kila kampuni kubwa ya utalii ipeleke japo watalii kumi kwa mwaka huko Burigi- Chato.
Kama kuna kampuni 2000,watalii 20000
Kampuni ikigoma vyombo vya dola,TISS,TRA,TTB,Polisi, Wizara ya Maliasili na Biashara ziwahenyeshe either kwa kuwapa madai mazito ya kodi,kutishia kuwanyima leseni,au wakurugenzi wake wahojiwe kila siku na vyombo vya dola
Nawasilisha
Kigumu chama cha mapinduzi!!!
Kigumu chamaNashauri kwamba,njia mojawapo ya kuitambulisha mbuga hii ni kulazimisha kila kampuni kubwa ya utalii ipeleke japo watalii kumi kwa mwaka huko Burigi- Chato.
Kama kuna kampuni 2000,watalii 20000
Kampuni ikigoma vyombo vya dola,TISS,TRA,TTB,Polisi, Wizara ya Maliasili na Biashara ziwahenyeshe either kwa kuwapa madai mazito ya kodi,kutishia kuwanyima leseni,au wakurugenzi wake wahojiwe kila siku na vyombo vya dola
Nawasilisha
Kigumu chama cha mapinduzi!!!
Naamini hujamwelewa mwandishi. Nafikiri ameamua kuwasilisha mawazo yake kwa njia ya dhihaka (sarcasm). Msome tena na utamwelewa.Ujinga ni pamoja na huu hapa.
Kamanda Aspirin ana maoni gani katika hili?Hivi Mmarekani ataacha kwenda kuona mlima Kilimanjaro na Ngorongoro Creator umshawishi kwenda Chato?
Nashauri kwamba,njia mojawapo ya kuitambulisha mbuga hii ni kulazimisha kila kampuni kubwa ya utalii ipeleke japo watalii kumi kwa mwaka huko Burigi- Chato.
Kama kuna kampuni 2000,watalii 20000
Kampuni ikigoma vyombo vya dola,TISS,TRA,TTB,Polisi, Wizara ya Maliasili na Biashara ziwahenyeshe either kwa kuwapa madai mazito ya kodi,kutishia kuwanyima leseni,au wakurugenzi wake wahojiwe kila siku na vyombo vya dola
Nawasilisha
Kigumu chama cha mapinduzi!!!
Mmhhh kila mtu anatoa povu humu
Kisa chato
Dodoma haiongelewi kwa jinsi serikali alivoipa hadhi na kipaumbele ya maendeleo
Lkn chatopovu za kumwaga
acha kufananisha dodoma na mambo ya ukanda na ukabila, DODOMA NI MJI MKUU WA CHAMA NA SERIKALI TANGU ENZI ZA MWALIMU, NI MJI MKUU KIKATIBA, YANAYOFANYIKA DODOMA YANASTAHILI NA TENA YALICHELEWA! KWANINI CHATO?Mmhhh kila mtu anatoa povu humu
Kisa chato
Dodoma haiongelewi kwa jinsi serikali alivoipa hadhi na kipaumbele ya maendeleo
Lkn chatopovu za kumwaga
MAVI YAKIBANA SIO LAZIMA UNAWE MAJI HATA TOILET PAPER NAYO N MSAADANashauri kwamba,njia mojawapo ya kuitambulisha mbuga hii ni kulazimisha kila kampuni kubwa ya utalii ipeleke japo watalii kumi kwa mwaka huko Burigi- Chato.
Kama kuna kampuni 2000,watalii 20000
Kampuni ikigoma vyombo vya dola,TISS,TRA,TTB,Polisi, Wizara ya Maliasili na Biashara ziwahenyeshe either kwa kuwapa madai mazito ya kodi,kutishia kuwanyima leseni,au wakurugenzi wake wahojiwe kila siku na vyombo vya dola
Nawasilisha
Kigumu chama cha mapinduzi!!!
Ahahahaaaaa usije shangaa wakalibeba hili wazo lako wenye Tanzania yaoNashauri kwamba,njia mojawapo ya kuitambulisha mbuga hii ni kulazimisha kila kampuni kubwa ya utalii ipeleke japo watalii kumi kwa mwaka huko Burigi- Chato.
Kama kuna kampuni 2000,watalii 20000
Kampuni ikigoma vyombo vya dola,TISS,TRA,TTB,Polisi, Wizara ya Maliasili na Biashara ziwahenyeshe either kwa kuwapa madai mazito ya kodi,kutishia kuwanyima leseni,au wakurugenzi wake wahojiwe kila siku na vyombo vya dola
Nawasilisha
Kigumu chama cha mapinduzi!!!
Ahahahaaaaa usije shangaa wakalibeba hili wazo lako wenye Tanzania yaoNashauri kwamba,njia mojawapo ya kuitambulisha mbuga hii ni kulazimisha kila kampuni kubwa ya utalii ipeleke japo watalii kumi kwa mwaka huko Burigi- Chato.
Kama kuna kampuni 2000,watalii 20000
Kampuni ikigoma vyombo vya dola,TISS,TRA,TTB,Polisi, Wizara ya Maliasili na Biashara ziwahenyeshe either kwa kuwapa madai mazito ya kodi,kutishia kuwanyima leseni,au wakurugenzi wake wahojiwe kila siku na vyombo vya dola
Nawasilisha
Kigumu chama cha mapinduzi!!!
Tukiacha utani, hayo makampuni yatatii hilo bila shuruti na pia yatajiongeza. Fursa hiyo itachangamkiwa mpaka kugombaniwa utashangaa. Wanaopinga ni wa mitandaoni tu. Na makampuni ya Arusha na Kilimanjaro utakuta siku ile ya ufunguzi yalifungua office zao Chato.Nashauri kwamba,njia mojawapo ya kuitambulisha mbuga hii ni kulazimisha kila kampuni kubwa ya utalii ipeleke japo watalii kumi kwa mwaka huko Burigi- Chato.
Kama kuna kampuni 2000,watalii 20000
Kampuni ikigoma vyombo vya dola,TISS,TRA,TTB,Polisi, Wizara ya Maliasili na Biashara ziwahenyeshe either kwa kuwapa madai mazito ya kodi,kutishia kuwanyima leseni,au wakurugenzi wake wahojiwe kila siku na vyombo vya dola
Nawasilisha
Kigumu chama cha mapinduzi!!!