chiembe
JF-Expert Member
- May 16, 2015
- 11,632
- 19,858
Nashauri kwamba,njia mojawapo ya kuitambulisha mbuga hii ni kulazimisha kila kampuni kubwa ya utalii ipeleke japo watalii kumi kwa mwaka huko Burigi- Chato.
Kama kuna kampuni 2000,watalii 20000
Kampuni ikigoma vyombo vya dola,TISS,TRA,TTB,Polisi, Wizara ya Maliasili na Biashara ziwahenyeshe either kwa kuwapa madai mazito ya kodi,kutishia kuwanyima leseni,au wakurugenzi wake wahojiwe kila siku na vyombo vya dola
Nawasilisha
Kigumu chama cha mapinduzi!!!
Kama kuna kampuni 2000,watalii 20000
Kampuni ikigoma vyombo vya dola,TISS,TRA,TTB,Polisi, Wizara ya Maliasili na Biashara ziwahenyeshe either kwa kuwapa madai mazito ya kodi,kutishia kuwanyima leseni,au wakurugenzi wake wahojiwe kila siku na vyombo vya dola
Nawasilisha
Kigumu chama cha mapinduzi!!!