Kitwa-Mulomoni
JF-Expert Member
- Oct 25, 2016
- 1,779
- 1,119
Kwanza maoni yenu ndiyo yatawapeleka watalii huko Chato! Yaani waone na wajiridhishe kwanini wewe hutaki Chato iwe na vivutio vya kitalii! Hilo tu litavuta watalii wa nje na ndani. Ngorongoro na kilimanjaro viko Tanzania tu lakini utalii upo dunia nzima sehemu zisizo kuwa na vivutio hivyo ulivyo vitaja! Au wewe ulifikiri nchi zote zina Ngorongoro Crater na Mt. Kilimanjaro? Siyo! Wengine wana nyoka tu, wengine ndege, samaki, umasikini wa watu, hali ya hewa, jua kuchomoza na kuzama. Huko Chato - Kuona trafik light moja barabarani. Pia kuona alipozaliwa Raisi wa kipekee Tanzania etc.Hivi Mmarekani ataacha kwenda kuona mlima Kilimanjaro na Ngorongoro Creator umshawishi kwenda Chato?