Haipendezi, ni upumbavu na ulofa kuandika jambo lisilo na mshiko (ushahidi) hapa jamvini, hasa kumtuhumu binadamu mwenzio kwa mawazo na hisia tu. Kuna sehemu ya udaku upelekwe huko.
TAFAKARI CHUKUA HATUA
Heading yake ilimalizia "labda Mungu asaidie" ambacho naona ni kweli, hata Rais wetu, wewe, na wabunge wengine wanapoapishwa wanasema "Ee Mungu nisaidie". Hapo kama Great Thinker umenielewa.
Tusimhukumu kwa kauli bali matendo. Tuvute subira bado ni mapema.
Kigwa ni mkurupukaji na anajidai anafahamu kila kitu. Huu ni mtihani wa kwanza tuone akifanya vitu kivitendo