Elimu ya kibongo tabu sana. Mtu anasoma anakuwa dokta, anachanganya madawa huko na kusoma business, akiamua kuandika credentials zake hapa zinajaza ukurasa mzima. MP, MD, MBA... uchafuuchafu gani wa cerrtification sijui ndo usiseme, unaogopa mwenyewe unasema huyu msomi kasoma.
Anaandika kitu, hata kuanza kwa kukupa background tu ili uelewe anashindwa.
Sasa kwa mtu ambaye hajamfuatilia Kigwangallah akisoma hii habari atabaki na maswali kibao. Kigs amefukuzwa uanachama? Anataka kufukuzwa uanachama? na nani? Kwa nini? Kwa nini ameandika yote haya?