Kigwangala aibuka na sarakasi baada ya kushambuliwa mitandaoni

Kigwangala aibuka na sarakasi baada ya kushambuliwa mitandaoni

Bila bila

JF-Expert Member
Joined
Dec 20, 2016
Posts
22,831
Reaction score
40,446
Unaweza kusema anajuta kwa maneno yake,
Unaweza kusema ameona alipokosea hivyo anaomba radhi kiaina,
Lakini style hii ya unafiki na kujifanya mtetezi baada ya kukosolewa ni tabia inayoota mizizi katika serikali hii.
Shuhudia hapa:-
IMG-20181126-WA0048.jpg
 
tunataka kikokoteo kirudi cha zamani na maisha yaendelee kama kawaida hatutaki ngoja za alufuolelaolela
 
Haki tutackia mengi na serikali hii inayojiita ya watetezi wa wanyonge n yet wanyonge wnazd kunyongeka!!!!#Tukutane2020
 
Back
Top Bottom