Idd hashim
Member
- Jan 4, 2013
- 79
- 17
Jamaa 1 mwenye kigugumizi alipewa muwa na jamaa yake... Sikia ilivyokuwa!Jamaa: karibu muwa!Kigugumizi: aa...aaa..asante! La.,lala..lakini mi..mimi., si,. Siwezi ku..kuku...----....----...kumaliza. La...lala... Lablab... Labda..tuu..tutu...tukatii.. Tukatiane, maa.. Maana n..nna uboo...uboo...ubovu wa meno!