Kigoma yaanza kufunguka

Kigoma yaanza kufunguka

Bro ita a place niko na desire kubbwa mno ya kuwekeza, lakini kinachonivuja moyo ni hii serikali, haielweki kabisa, mara kubadilisha sheria, mara kuteka na kutia hofu, mara hata wakuu wa mikoa na wilaya kuweka wawekezaji ndani sababu ya kodi ila hio sio kazi yao, hio ni kazi ya TRA, oohhh how i wish things can better in tz, kigoma inaweza kuwa logistics hub kubwa hasa, na pia mazao kaa palm oil, fish na maize hizo zinaweza kuzwa na kuuzwa huko haswa European union, tatizo ni sheria na utwala baya
Just work on your ideas regardless what the government is doing. Kigoma is strategic region, that when you invest,you not regret your decision.
Wekeza kaka utapata mali nyingi sana.
Remember you will have an access to explore even Eastern Congo DR as well as Burundi.
Definitely Kigoma ni hub kama unavyosema.
 
Back
Top Bottom