Kigoma yaanza kufunguka

Mimi nimetoka huko juzi,kwa kweli kuna mabadiliko makubwa sana yanaendelea kutokea kwa mkoa wa KIgoma soon barabara zote zitakuwa za lami.Kuanzia Nyakanazi mpka Kasulu na Manyovu pia.Kuna wakandarasi wameshapewa kazi kuanzia Kabingo(Kakonko) mpaka Kasulu mapka ma Manyovu itakuwa lami.Bado naona Miradi ya REA ilivyofungua mkoa.Na ni mkoa uliobarikiwa kuwa na ardhi yenye rutuba sana na ambayo bado kuktumika.
 
Kuna zaidi ya tunavyojua juu ya kigoma..labda nijaribu ku decode. ..kigoma kwa kiasi kikubwa ni ya waha tofauti na mikoa mingine yenye makabila yanayokinzana..lugha ya kiha pia tamaduni inashabihiana sana rwanda na burundi..kwa miaka 10 Uha ilitaliwa na belgium wakati kwingine ilikuwa ni English...bilashaka kuna shida ya kuaminika..mfano mpaka wa namanga na Silari hata wa tunduma sidhani kama ni fortified kama ziwan tanganyika..manyovu through to mabamba..
Elimu ilifika 50 years baadae..yumkini kumekuwa hakuna wawakilishi makini serikalini.
Element za SILABU bado zimo katika maamuzi yakiutawala bilashaka.
Kwa mtazamo huu nafikiri maendeleo ya mkoa wa kigoma yana safari ndefu.
 
Zitto yupo dar anaangalia pornography na kuoa wajane hovyo huku akiendeleza ujinga wake wa kuihujumu serikali
 
Amepinda utashi, ubishi kwao ni jadi
 
Amepinda utashi, ubishi kwao ni jadi
 
Wilaya ya Uvinza maneo ya Lugufu, Kazurumimba, kaza roho, malagarasi, mpeta, maganza, ulagala, nguruka na itebula nk hazina umeme maji safi na salama wakati vimezungukwa na mito mikubwa kama Malagarasi Luchugu
 
Hawa jamaa wa awamu hii hawako siriaz wanajivuta vuta kuhusu Kigoma yaani so far hakuna barabara ya lami inayounganisha Kigoma na mkoa mwingine licha ya awamu iliyopita kujenga daraja la malagarasi,barabara ya kgm kidahwe na kigoma Manyovu hawa wa saizi webakia porojo
Hata hivyo juzi walipata mkopo wa kujenga road kutoka kabingo/Kakonko kasulu Manyovu na pia wako mbioni kufikisha umeme wa grid mwaka huu,japo mipango sio matumizi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…