Kama hao jamaa ni wezi wapelekwe mahakamani wafungwe kabisa...maana wanatuibia rasilimali zetu...Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa awasimamisha kazi Watumishi watatu wa Hospitali ya Wilaya ya Kasulu
> Waziri Mkuu amechukua hatua hiyo kutokana na watumishi hao kutuhumiwa kwa kujihusisha na wizi wa dawa na vifaa tiba vya Hospitali hiyo
Mkuu huyo PM hajawahi na hana record ya kuonea mtu katika kuchukua hatua za kinidhamu.Kama hao jamaa ni wezi wapelekwe mahakamani wafungwe kabisa...maana wanatuibia rasilimali zetu...
Laoini kama wanatuhumiwa tu sio poa wala nini ..
Maana inawezekana wanao watuhumu wana chuki binafsi tu
Duuh, haya bwana...micromanage!!!! Malcom Lumumba