Kigoma sio ndondocha


soma tena maandiko mbalimbali harafu useme kama ni zitto pekee au wako kibao, pili ukweli wa leo unabaki kuwa ukweli wa leo japo kesho inaweza ikawa na ukweli wake pia, wajinga hata kama unataka kura haimanishi wanakoma kuwa wajinga kwa uroho wako wa kura, nyerere walimsumbua akasema watu wa kigoma, mkigoma kila mara mnamgomea nani, wako hivyo na tutasema ukweli. Sorry niseme pia mzaliwa wa kigoma na kukulia huko wakati mzee anafanyakazi najua nachosema pia
 

sisi ni ZITO tu wanakigoma chadema bai
 

hebu subir kidogo, zzk co muha wa kwanza kufukuzwa chadema kwa style hii. the very first opposition MP in Tanzania history alifukuzwa cdm kwa tuhuma ambazo zzk amepewa pia.
David kafulila alifukuzwa cdm kwa the same style. now is zzk
unategemea wanakigoma waendelee kukiamini chama ambacho kinaonesha ubaguzi wa dhahiri??
give the a break!!
hawa waha wote watatu n wasaliti??
acheni ubaguzi, kila mnaetofautiana mtazamo mkimuita msaliti chama kitakufa
 
Wabishi kweli, wanafuata upepo na wanamfuata mtu, eti watu wenye akili wanaweza kuandika bango hawakuchagua chama, mburula hizo walichagua mtu bila kujali sera za chama chake hao wanaakili kweli???
 
Wabishi kweli, wanafuata upepo na wanamfuata mtu, eti watu wenye akili wanaweza kuandika bango hawakuchagua chama, mburula hizo walichagua mtu bila kujali sera za chama chake hao wanaakili kweli???

hao unaowaita mburula ndio wa kwanza kupeleka mbunge wa upinzani bungeni nchi hii. na ninyi mkaiga kutoka kwao
hebu wapeni muda mtaona kazi yao!!
 
hao unaowaita mburula ndio wa kwanza kupeleka mbunge wa upinzani bungeni nchi hii. na ninyi mkaiga kutoka kwao
hebu wapeni muda mtaona kazi yao!!

Unaabudu kuwa wa kwanza, basi rais wako hawawahi kuwa wa kwanza popote isipokuwa kwenye uchaguzi
 
Asante kwa kutuona sisi ni MATAAHIRA, mungu akubariki na kukuongezea maarifa

Ona zitto alivyosema mwaka 2012, harafu unilaumi mimi: Kaluvata pia
"katika katiba ya chadema kuna misingi 12 ambayo chama kimejengwa juu yake.Iwapo wanachadema wataisimamia kwa dhati misingi hiyo badala ya kusimamia watu, kamwe hapawezi kutokea malumbano yasiyo na msingi yanayopoteza malengo ya ukombozi mpya wa mtanzania. Inasikitisha kwa sasa hivi kwenye siasa za Tanzania katika vyama vyote kumekuwa na ufuasi wa watu badala ya ufuasi wa misingi.

Watu sio mawe hugeuka, misingi inabaki misingi. Ama unafuata misingi hiyo, au unajiunga na chama kinachofuata misingi unayoitaka au unaanzisha misingi mingine katika chama kipya" (ZITTO KABWE, 12/12/2012)


Kama uliandika na kubeba bango eti tulikuchagua wewe zitto sio chama, je unafuata mtu au msingi ndani ya CHAMA??? kg hao
 

Zitto sio mjinga, Sio kama Zitto hajui kwamba umoja ni nguvu na nguvu ni umoja, bali ana kila dalili za kutumiwa vibaya kudhoofisha nguvu za upinzani nchini, na inawezekana anaifanya kazi hiyo kwa bei na faida kubwa sana. Inasemekana ACT imeazimwa (bosheni) wanachama kutoka vyama vingine kwanza ili ionekane kina wafuasi pia. Ila hali ilipofikia sasa sio kama ile ya miaka ya 1995, 2000, 2005 na 2010, wapiga kura wa leo 2015 ni vijana wasiodanganyika kirahisi wakisaidiwa na elimu yao ya shule za kata zilizosambaa kila kona nchini. Wazee wanaendelea kwisha na kubaki bongo fleva tu ambao wanataka mabadiliko, Zitto anweza kubaki na hela lakini sio umaarufu wa kisiasa tena, maana 'Nguvu ya mamba (Zitto) mumaji (chadema)'
 
Inaonesha ni rahisi sana kuwafinyangafinyanga wana kigoma ukiwa umepata elimu kidogo. Yaani wapo km bendera

Acha akili finyu ya kutoona beyond the horizon.

Kigoma kuna wabunge 4 wa NCCR, 3 wa CCM na huyo mmoja aliyeutema wa chadema.

Nionyeshe influence ya Zitto hapo kwa wana Kigoma, au ulimaanisha wanajimbo wake.
 

Fikra fikirifu za kijuha
 
Wabishi kweli, wanafuata upepo na wanamfuata mtu, eti watu wenye akili wanaweza kuandika bango hawakuchagua chama, mburula hizo walichagua mtu bila kujali sera za chama chake hao wanaakili kweli???

Kwanza MFalme Ayatollah wa Act aligombea na Nani?. Eti democlasia.
 
Kigoma tulihipokea ACT kwa mikono miwili, maana ndio Chama cha ukombizi dhidi ya wafanyabiashara ( Mbowe... ) malaya ( Slaa ), udini ( Lissu ), ukabila ( Mtei ), ukanda ( Lema ). Hiki ndicho chama chenye demokrasia ya kweli. Zitto ooooooo!!!
 
Acha ujinga na dharau, kama unamwona mali nenda akuoe!!!!!

Ndio Rais wa mkoa wa kigoma. Km unabisha kutana na Muha yeyote barabarani muulize habari za ZZK atakwambia ndio wanamtegemea.
 

Sasa ndo mjue kgm ninyi ni watu wamageuzi lakini hamna misimamo,wepesi kurubuniwa,sasa mmeona njia rshisi ni kuanzisha genge la waha ACT na nawambieni wote mnaofuata upepo itakula kwenu tu hakiendi popote hicho kikundi cha waha wajinga ambacho kimekaa kidini zaidi mfalme wenu mwaka jana kaanza kueneza udini chinichini na kuwapeleka washehe maka then akatangaza nakuja kugombea mjini kgm na chama kipya cha waha,hongera CDM kwa kumgundua mapema msaliti huyu mpenda madaraka sasa afurahi amepata ufalme wa chama.
 
wewe ndo unawasemea wanakigoma??? ivi ww u.awafaham au unawaskia..... xaxa tumeshaamua kuingia ACT kutokana na ubaguz unaoendelea ndan ya CDM
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…