JAYJAY
JF-Expert Member
- Oct 31, 2008
- 7,510
- 7,541
ni miezi kadhaa imepita tangu uchaguzi mkuuu ufanyike. majimbo ya ubunge karibia yote yamekwenda kwa vyama pinzani. sidhani kama kuna mkoa ambao hili limeshawahi kutokea hapo kabla.je huu mwamko au uthubutu wa kufanya maamuzi haya unatokana na nini? je ni elimu, maendeleo ya kiuchumi, au aina ya watu na desturi za watu (makabila) yaishiyo huko? kwa nini hayo hayatokei mikoa mingine. naomba wadau mnisaidie kwa hili?