Kigoma mna kisimati, mmependwa nyie!

Kigoma mna kisimati, mmependwa nyie!

Egwugu

JF-Expert Member
Joined
Mar 16, 2011
Posts
17,558
Reaction score
8,555
Naona kila lililo jema linasemwa juu ya mkoa wa Kigoma. Msimwangushe make nyie walau nyota inawaka.

Wenzenu alikokwenda huko ukitoa "kwetu" mambo hayakuwa mazuri hivi.

Mnapewa na mnaongezewa, ni rumbesa ya kila mnachokiomba. Chukueni. Natizamia mikoa mingine pia isaidiwe na kusemwa kwa mipango kama haya ya Kigoma. Naamini nchi ni moja, na maendeleo hayana Kigoma wala "kwetu".

Naona ardhi kwa maekari wanapewa walime, nasikia unaongoza mwenyewe mazungumzo ya kujenga kiwanda cha sukari.

Umehaidi kupanua barabara na kuijenga upya kigoma iwe ya kisasa. Ni mipango mizuri lakini hata mikoa mingine pia walitarajia ukaongee kwa lugha za kujenga zikiwa na mtizamo chanya. Uchanya unapimwa kwa maneno ijapo matendo maridhawa kuliko maneno

Maendeleo hayana vyama, maendeleo hayana kabila wala dini. Basi hima mzee, kwingineko nako ni Tanzania.
 
Naona Rais Magufuli Yupo Live Azam Extra Na Tbc Yupo Kigoma
 
Halmashauri Ya Kigoma Ndyo Iliyopata Hati Chafu Ktk Ukaguzi,nitahakikisha Wale Wote Waliosababisha Hvyo Nitawakamata Baada Ya Ziara Yako Amesema Mkuu Wa Mkoa
 
Zito Kabwe Tunaomba Majibu Kwnn Hmashauri Ya Kigoma Ujiji Ipate Hati Chafu?
 
Analalamika kigoma kupendelewa?Ulitaka apendelewe nani sasa?

Sent from my iPhone 8 using JamiiForums mobile app
 
Tangu Nichaguliwa Sijawahi Kuwabagua Watanzania Kwa Uchama Wao,na Naombeni Mniombe Kwa Mungu Nisije Nikabadilika,is It?
 
Halmashauri Ya Kigoma Ndyo Iliyopata Hati Chafu Ktk Ukaguzi,nitahakikisha Wale Wote Waliosababisha Hvyo Nitawakamata Baada Ya Ziara Yako Amesema Mkuu Wa Mkoa
Hatuwezi kuwapa adhabu wananchi kwa kosa la watendaji, hata halmashauri ya Hai nayo in hati chafu si kosa la wananchi.
 
Naona kila lililo jema linasemwa juu ya mkoa wa Kigoma. Msimwangushe make nyie walau nyota inawaka. Wenzenu alikokwenda huko ukitoa "kwetu" mambo hayakuwa mazuri hivi. Mnapewa na mnaongezewa, ni rumbesa ya kila mnachokiomba. Chukueni. Natizamia mikoa mingine pia isaidiwe na kusemwa kwa mipango kama haya ya Kigoma. Naamini nchi ni moja, na maendeleo hayana Kigoma wala "kwetu".
Naona ardhi kwa maekari wanapewa walime, nasikia unaongoza mwenyewe mazungumzo ya kujenga kiwanda cha sukari. Umehaidi kupanua barabara na kuijenga upya kigoma iwe ya kisasa. Ni mipango mizuri lakini hata mikoa mingine pia walitarajia ukaongee kwa lugha za kujenga zikiwa na mtizamo chanya. Uchanya unapimwa kwa maneno ijapo matendo maridhawa kuliko maneno

Maendeleo hayana vyama, maendeleo hayana kabila wala dini. Basi hima mzee, kwingineko nako ni Tanzania.
Hii mikoa ilisahaulika kabisa....lazima wapewe motivation ya kusogea mbele. Kigoma inaweza kulisha sehemu kubwa ya Tanzania miundombinu ikikaa sawa. Lake Tanganyika inaamika lina black gold....ila wale jamaa ni wabishi sijapata kuona

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maendeleo Hayana Chama Nimemchagua Pr Kitila Sbb Ana Akili Sna Kuliko Wengne Namfahamu Ni Act,nimemchagua Mwnykt Wa Act Ana Magwira Bila Kumwuliza Zito Sbb Ni Mchapakazi,siwezi Kuchagua Wale Wengne
 
Back
Top Bottom