titimunda
JF-Expert Member
- Nov 26, 2014
- 7,565
- 9,809
duuh hii imekaa kama paradox ya kifalsafaDhana ya "wale wa kupinga kila kitu" ni dhana ya kijinga kuliko kupinga kila kitu kwenyewe.
duuh hii imekaa kama paradox ya kifalsafaDhana ya "wale wa kupinga kila kitu" ni dhana ya kijinga kuliko kupinga kila kitu kwenyewe.
asante mkuuduuh hii imekaa kama paradox ya falsafa
are you a philosofer?asante mkuu
yec.... sirare you a philosofer?
heshima kwako mkuuyec.... sir
asanteheshima kwako mkuu
Sikio la kufa ni la kufa tu, wape kila kitu mpaka watoto wapatie lkn nakueleza kama huna akili ya kujiendeleza huna tu.Naona kila lililo jema linasemwa juu ya mkoa wa Kigoma. Msimwangushe make nyie walau nyota inawaka. Wenzenu alikokwenda huko ukitoa "kwetu" mambo hayakuwa mazuri hivi. Mnapewa na mnaongezewa, ni rumbesa ya kila mnachokiomba. Chukueni. Natizamia mikoa mingine pia isaidiwe na kusemwa kwa mipango kama haya ya Kigoma. Naamini nchi ni moja, na maendeleo hayana Kigoma wala "kwetu".
Naona ardhi kwa maekari wanapewa walime, nasikia unaongoza mwenyewe mazungumzo ya kujenga kiwanda cha sukari. Umehaidi kupanua barabara na kuijenga upya kigoma iwe ya kisasa. Ni mipango mizuri lakini hata mikoa mingine pia walitarajia ukaongee kwa lugha za kujenga zikiwa na mtizamo chanya. Uchanya unapimwa kwa maneno ijapo matendo maridhawa kuliko maneno
Maendeleo hayana vyama, maendeleo hayana kabila wala dini. Basi hima mzee, kwingineko nako ni Tanzania.
Chuki hiziSikio la kufa ni la kufa tu, wape kila kitu mpaka watoto wapatie lkn nakueleza kama huna akili ya kujiendeleza huna tu.
Magofu yatabaki huko kwa sababu hivyo vitu siyo asili yao.
Mambo yao waachie uchawi wenye kujua Maendeleo wakija wao watahamia misitu ya Congo
Huu ni ukweli mkuu kama huamini subiri muda utaongea.