Kigoma: Mkoa pekee haujaunganishwa na umeme na barabara hadi 2020

Acheni uzushi.. zitto ni nani hata azuie world bank..

Mbona mnakuwa na visingizio visivyo na maana.

Nitajie mkandarasi anaye jenga barabara kigoma au umeme.
Hujagundua baada ya Zitto Kabwe kwenda World Bank kuzuia fedha za Maendeleo alikuwa hajui kama tayari JPM alikuwa anaendelea na Ujenzi wa Miundombinu ya Barabara na umeme kwa kutumia fedha za ndani, na mpaka sasa hajui kama fedha alizoomba zisiletwe kama tayari ziliisha letwa na Zipo kwenye utekelezaji. Zitto Kabwe ni Janga la Wanakigoma na Janga la Taifa.
NB: ZZK ni Ukom
 
Sikia kijana.. hapa kuna watu wazima na tunajadili mambo ya maana yanayogusa maisha ya watu.

Vaa nguo uende kanisani sunday school imesha anza.
Zitto Kabwe ameunda timu ya Watu 15 na kuna anaowalipa 15,000 kwa siku, anaowalipa 20,000 kwa siku ili waende nyumba kwa nyumba kuwanunua Wananchi wa kuujaza uwanja nyomi.
Kibaya zaiid ile timu wamegeuka kuwa vibaka wamewaibia sana Watu maeneo ya Mji Mwema, Kilima hewa, Bangwe Kamala n.k.
Na kuna akina Mama wametoa namba kwa kutishiwa na kundi la hao vijana 15 wasaidizi wa kutoa rushwa kwa Zitto Kabwe.
Kama Naongopa Muulize Dada yake Zitto Kabwe anaitwa Dita you Find every mbinu.
Na Uzuri wa Dada yake Zitto Kabwe anazungumza kwa uwazi na anasema Watu wa Kigoma tunawanunua ili malengo bado hayatimii. Mfano waliouhudhulia Mkutano wa Cine ATRAS ni walewale waliohudhulia Mwembetogwa . Na Mimi Mwenyewe nipo Mtaa wa Majengo Walichukua namba ya simu na 20,000 nikapiga na Bodaboda ilinifuata bureeee mpaka uwanjani, lakini kura simpiiiii Ng'oòooooooo.
Mambo ni Mbwirambwira mughabho.
Zitto Kabwe lete hela, Anna na Dita wanajua kinachoendelea.
 
Tatizo elimu yako ndogo.. hatuzungumzii umeme.. umeme upo na mwingine wa solar.

Tunacho zungumzia ni National Grid.. Kigoma haipo kwenye Umeme wa National Grid.. Kigoma inatumia umeme.wa mafuta.
Nimegundua watu ni waongo sana sijui ni kwa faida ya nani mm nilikua kigoma mwezi 6 tu umeme upo masaa 24 lami bado kipande kifupi tu na mkandaras yupo site, lakini sio hao hao wakina zito wanasema hayo ni maendeleo ya vitu sasa analalamika nini, lakini kusema hakuna umeme nioungo, hakuna lami ni uongo mji mzima kwa sasa lami kila kona hadi mitaani kabisa acheni uongo muende mbinguni.
 
Tuanokueleza tupo Kigoma Mjini au wewe hutaki taarifa za ukweli, unataka porojo za Zitto Kabwe.
Sikia kijana.. hapa kuna watu wazima na tunajadili mambo ya maana yanayogusa maisha ya watu.

Vaa nguo uende kanisani sunday school imesha anza.
 
Tatizo elimu yako ndogo.. hatuzungumzii umeme.. umeme upo na mwingine wa solar.

Tunacho zungumzia ni National Grid.. Kigoma haipo kwenye Umeme wa National Grid.. Kigoma inatumia umeme.wa mafuta.
Elimu ndogo anyaoyule aliyeenda Ujerumani kutengeneza cheti cha Masters, wakati huku UDSM akiwa ameziacha Carry over za kufa Mtu. Alienda kupata Masters wakati hajagraduate UDSM. Ndiyo maana anawafanya mazuzuuu.
Umeme wa Grid ya Taifa nenda Kidahwe ipo Kigoma Vijijini/Jimbo la Kigoma Kaskazini kawaulize Wananchi wa hapo wakueleze kinachoendelea, nenda Nguruka uvinza/Jimbo la Kigoma Kusini kawaulize Wananchi kinachoendelea na ukaone kilichopo, nenda Tanesco Kigoma wakueleze hatua waliyofikia ndo ulete utopolo wako.
Zitto Kabwe hajui hilo maana anajua zile harakati zake za kuhakikisha CCM inashindwa kuunganisha mkoa wa Kigoma alifanikiwa kumbe huku mambo yanaendelea na Kigoma kama ilivyomikoa Mingine wanaunganishwa na Grid ya Taifa nenda kawaone Wakandarasi wapo site na wamelipwa fedha zote. Nakushangaa mwenye Elimu kubwa nakushinda kufanya utafiti wa kisomi mwenye Elimu ndogo kama Mimi.
NB: Hizo Ajenda zimefutwa Zitto Kabwe akiwa nje ya nchi kujipendekeza kwa Mabeberu ili kuwahujumu Watanzania haswa waliopo Kigoma.
Baada ya Ajenda Kufutwa: Nimecheeeeeeeekaaaaaa🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Hujagundua baada ya Zitto Kabwe kwenda World Bank kuzuia fedha za Maendeleo alikuwa hajui kama tayari JPM alikuwa anaendelea na Ujenzi wa Miundombinu ya Barabara na umeme kwa kutumia fedha za ndani, na mpaka sasa hajui kama fedha alizoomba zisiletwe kama tayari ziliisha letwa na Zipo kwenye utekelezaji. Zitto Kabwe ni Janga la Wanakigoma na Janga la Taifa.
NB: ZZK ni Ukom
Maelezo yako ayaeleweki, maana Zitto ni mbunge wa jimbo moja tu. Sasa atazuiaje maendeleo ya mkoa mzima. Kigoma aijaunganishwa na gridi ya umeme wa taifa upo umem wa generator tu. Uwezi fika kigoma kwa gari bila kupita kwenye barabara ya vumbi japo barabara ya Tabora wamejarib ila ijaisha hadi leo more than than 5 year nasikiaga inajengwa tu. Yaani ata mikoa mipya kama Simiyu, Manyara, Geita, Katavi kwa kupitia sumbawanga kuna rami tpu. But we are all Tanzanian/human. We need social service like other human/ part of Tanzania.
 
Wewe hutoki Kigoma ni vema ukae kimya
Nyie mbunge wenu amekalia wizi lini atawapigania? Mtakula jeuri yenu. Lakini kuna sehemu nyingi tu Tanzania hakuna lami, what is so special huko Kigoma kuwe na lami?
 
Maelezo yako ayaeleweki, maana Zitto ni mbunge wa jimbo moja tu. Sasa atazuiaje maendeleo ya mkoa mzima. Kigoma aijaunganishwa na gridi ya umeme wa taifa upo umem wa generator tu. Uwezi fika kigoma kwa gari bila kupita kwenye barabara ya vumbi japo barabara ya Tabora wamejarib ila ijaisha hadi leo more than than 5 year nasikiaga inajengwa tu. Yaani ata mikoa mipya kama Simiyu, Manyara, Geita, Katavi kwa kupitia sumbawanga kuna rami tpu. But we are all Tanzanian/human. We need social service like other human/ part of Tanzania.
Mwambieni Zitto Kabwe, Miradi hiyo ilikuwa imeandaliwa Bajeti ikiwa ni Mkopo kutoka world Bank kwa ajili ya uteketezaji wa miradi ya Maendeleo. Kutokana na ubinafsi wake akiamini anailetea Tabu CCM na kuwafanya Wananchi wa Kigoma eti waone CCM imewatenga kwa andiko lake World Bank kwamba Watanzania hawataki Miradi ya Barabara, Hawataki Miradi ya uwanja wa ndege, Hawataki Miradi ya Elimu n.k . Na kusababisha world Bank kuweka Pending uidhinishwaji wa fedha kuletwa Tanzania kwa ajili ya kutekeleza Miradi ya Maendeleo ili wachunguze ukweli wa alichoandika Zitto Kabwe, katika kipindi cha Uchaguzi Serikali ikabidi kuanza kutekeleza kwa kutumia fedha za ndani ya nchi huku Serikali ikiwaacha World Bank wakamilishe Uchaguzi wao. Na World Bank wakajiridhisha kuwa Zitto Kabwe ni Muongo na Mzandiki dhidi ya Serikali ya Tanzania.
Sema kuna Changamoto ya Covid-19 kwenye Mataifa yaliyokuwa ni Wakandarasi wa Miradi ya kuunganisha Mkoa wa Kigoma na Mikoa Mingine ikiwemo ya umeme wa Grid ya Taifa na Barabara.
Kwa Ujumla Pepo la Maendeleo kwa Mkoa wa Kigoma liitwalo Zitto Kabwe litasurubiwa tarehe 28.10.2020 na hatoamini kitakachotokea.
Tathimini ya hadi tarehe 13.09.2020 kwa Jimbo la Kigoma ( kwa udhamini wa Wanazengo-:
Matokeo yatakuwa hivi
1. CCM- Ng'enda- 72%
2. NCCR Mageuzi - Mogha 14%
3. Act wazalendo- Kabwe 13%
4. Chadema- Mangu 1%

Sababu zilizotolewa na Wananchi wa Kigoma:
1. Zitto Kabwe amewadanganya kwa muda Mrefu tokea akiwa Chadema Jimbo la Kigoma Kaskazini, na kukimbilia Jimbo la Kigoma Mjini baada ya kukataliwa huko. Na Sababu alizokataliwa Kigoma Kaskazini ndizo hizohizo anakataliwa Jimbo la Kigoma Mjini. Ulinganifu wa Nyomi ya watu na kula wengi wanasema walienda kuangalia show ya Mziki ya Baba Levo/Revocatus Chipandu na Wengine walihongwa kati ya 2000, 5000 hadi 20,000.
2. Zitto Kabwe anapanda Ndege harafu akifika kwa Wananchi anawadanganya kuwa ndege hazifai 😂😂😂😂😂.
3. Zitto Kabwe anajinadi kwamba ametekeleza Miradi ya Maendeleo Manispaa ya Kigoma ujiji wakati yote ikitekeleza aliibez wazi, na baada ya kuona hana Sera abadilisha kibao miradi aliyoitukana kuwa JPM anakosea kujenga Barabara Barabara kwasasa ajitapa eti katekeleza wakati Wananchi wa Kigoma wanajua ni Juhudi za JPM Mwenyewe kuwapenda Wananchi wa Kigoma na kudhamilia kuwa hata akikwamishwa na Mandumila kuwili kama Zitto Kabwe hatowaangusha na aliwasisitiza Wanakigoma wamuombee na kweli kafanikisha Kigoma JPM amekunogesha saaana, kumekuwa kutamu kwelikweli mpaka mwabudu Mabeberu anayeyemeka.
4. Zitto Kabwe amewaamini Warundi, na Wakenya Vikosi vya waasi. Kwenye kikao walichokifanya Kabingo eti wawatafute waasi ili wawasajili kuuhujumu Uchaguzi. Kwa Jinsi ninavyoijua TZ wasithubutu tutaungana na Majeshi mtakiona cha Mtema kuni. Maazimio yenu tunayajua.
Ile hela aliyoingiziwa Mdogo wako Zitto aitwaye Ndabita ipo kwenye rocket za Wanaume.
Najua Mpaka mchana mliendelea kufanya tathimini lakini majibu yake mmeisha yapata Zitto Kabwe umeyaona sasa.
 
Nyie mbunge wenu amekalia wizi lini atawapigania? Mtakula jeuri yenu. Lakini kuna sehemu nyingi tu Tanzania hakuna lami, what is so special huko Kigoma kuwe na lami?
Kwa mujibu wa katiba mbuge hawezi leta maendeleo bila WILL ya serikali..kama nikuongea tu siasa,chachu ya hoja zimejengwa na wa bunge wa Kigoma Bungeni.
 
Tatizo la shule kufungwa
Mwambieni Zitto Kabwe, Miradi hiyo ilikuwa imeandaliwa Bajeti ikiwa ni Mkopo kutoka world Bank kwa ajili ya uteketezaji wa miradi ya Maendeleo. Kutokana na ubinafsi wake akiamini anailetea Tabu CCM na kuwafanya Wananchi wa Kigoma eti waone CCM imewatenga kwa andiko lake World Bank kwamba Watanzania hawataki Miradi ya Barabara, Hawataki Miradi ya uwanja wa ndege, Hawataki Miradi ya Elimu n.k . Na kusababisha world Bank kuweka Pending uidhinishwaji wa fedha kuletwa Tanzania kwa ajili ya kutekeleza Miradi ya Maendeleo ili wachunguze ukweli wa alichoandika Zitto Kabwe, katika kipindi cha Uchaguzi Serikali ikabidi kuanza kutekeleza kwa kutumia fedha za ndani ya nchi huku Serikali ikiwaacha World Bank wakamilishe Uchaguzi wao. Na World Bank wakajiridhisha kuwa Zitto Kabwe ni Muongo na Mzandiki dhidi ya Serikali ya Tanzania.
Sema kuna Changamoto ya Covid-19 kwenye Mataifa yaliyokuwa ni Wakandarasi wa Miradi ya kuunganisha Mkoa wa Kigoma na Mikoa Mingine ikiwemo ya umeme wa Grid ya Taifa na Barabara.
Kwa Ujumla Pepo la Maendeleo kwa Mkoa wa Kigoma liitwalo Zitto Kabwe litasurubiwa tarehe 28.10.2020 na hatoamini kitakachotokea.
Tathimini ya hadi tarehe 13.09.2020 kwa Jimbo la Kigoma ( kwa udhamini wa Wanazengo-:
Matokeo yatakuwa hivi
1. CCM- Ng'enda- 72%
2. NCCR Mageuzi - Mogha 14%
3. Act wazalendo- Kabwe 13%
4. Chadema- Mangu 1%

Sababu zilizotolewa na Wananchi wa Kigoma:
1. Zitto Kabwe amewadanganya kwa muda Mrefu tokea akiwa Chadema Jimbo la Kigoma Kaskazini, na kukimbilia Jimbo la Kigoma Mjini baada ya kukataliwa huko. Na Sababu alizokataliwa Kigoma Kaskazini ndizo hizohizo anakataliwa Jimbo la Kigoma Mjini. Ulinganifu wa Nyomi ya watu na kula wengi wanasema walienda kuangalia show ya Mziki ya Baba Levo/Revocatus Chipandu na Wengine walihongwa kati ya 2000, 5000 hadi 20,000.
2. Zitto Kabwe anapanda Ndege harafu akifika kwa Wananchi anawadanganya kuwa ndege hazifai .
3. Zitto Kabwe anajinadi kwamba ametekeleza Miradi ya Maendeleo Manispaa ya Kigoma ujiji wakati yote ikitekeleza aliibez wazi, na baada ya kuona hana Sera abadilisha kibao miradi aliyoitukana kuwa JPM anakosea kujenga Barabara Barabara kwasasa ajitapa eti katekeleza wakati Wananchi wa Kigoma wanajua ni Juhudi za JPM Mwenyewe kuwapenda Wananchi wa Kigoma na kudhamilia kuwa hata akikwamishwa na Mandumila kuwili kama Zitto Kabwe hatowaangusha na aliwasisitiza Wanakigoma wamuombee na kweli kafanikisha Kigoma JPM amekunogesha saaana, kumekuwa kutamu kwelikweli mpaka mwabudu Mabeberu anayeyemeka.
4. Zitto Kabwe amewaamini Warundi, na Wakenya Vikosi vya waasi. Kwenye kikao walichokifanya Kabingo eti wawatafute waasi ili wawasajili kuuhujumu Uchaguzi. Kwa Jinsi ninavyoijua TZ wasithubutu tutaungana na Majeshi mtakiona cha Mtema kuni. Maazimio yenu tunayajua.
Ile hela aliyoingiziwa Mdogo wako Zitto aitwaye Ndabita ipo kwenye rocket za Wanaume.
Najua Mpaka mchana mliendelea kufanya tathimini lakini majibu yake mmeisha yapata Zitto Kabwe umeyaona sasa.
 
Back
Top Bottom