carcinoma
JF-Expert Member
- Mar 5, 2017
- 5,059
- 13,718
Kuna lami flani kutoka nyakanazi hadi kibondo.. umbali wake haufiki hata Km 100 lakini hio lami imeanza kujengwa mimi nikiwa naenda kuanza form 5 2011 mpaka leo haijaisha.
Wakati kuna barabara ndefu zaidi ya hio zimejengwa na zimeisha lakini hii haiishi na maraisi wote wamepita na kuweka ahadi za uongo.
Mbaya zaidi mbunge wa jimbo la muhambwe ni naibu waziri wa uchukuzi lakini hakuna anachofanya boya yule.. na sasa hivi akipita basi atakua ameiba maana hakuna anayemtaka .. wakifanya free and fair election hata akisimama na mtoto wa form 2 c bora tumchague mtoto.
Wakati kuna barabara ndefu zaidi ya hio zimejengwa na zimeisha lakini hii haiishi na maraisi wote wamepita na kuweka ahadi za uongo.
Mbaya zaidi mbunge wa jimbo la muhambwe ni naibu waziri wa uchukuzi lakini hakuna anachofanya boya yule.. na sasa hivi akipita basi atakua ameiba maana hakuna anayemtaka .. wakifanya free and fair election hata akisimama na mtoto wa form 2 c bora tumchague mtoto.