Rohombaya
JF-Expert Member
- Jul 4, 2011
- 13,078
- 10,425
Khaa!! Walimu wetu walikuwa wavumilivu kwelikweli. Kigoma ni nini na Tanzania ni nini?? Unajua sheria ya nchi moja kuwa na nyanda 2 za wakati zikoje? Tuwe tunajifunza kwanza ili tujitoe ujingaTanzania tunatumia masaa ya kwenye longitudo 45 mashariki ya greenwich. Mji wa Kigoma upo nyuzi 29 mashariki. Hapo pana tofauti ya nyuzi 16. Kwenye masaa, nyuzi 15 ni sawa na saa 1. Hivyo masaa wanayotumia Kigoma na masaa halisi kunatofauti ya saa moja.
Inabidi wana Kigoma muanze kutumia masaa yenu halisi.