geraldkowero1
JF-Expert Member
- Jul 5, 2014
- 1,838
- 647
Ndio mana kumbe Zito yuko nyuma!!!!
Nakubaliana Kigoma walitakiwa watumie majira ya Rwanda, Burundi na Dr. Congo ila Zito kuwa nyuma lisaa kwa vile tu katokea huko umemweza.
Ndio mana kumbe Zito yuko nyuma!!!!
tanzania tunatumia masaa ya kwenye longitudo 45 mashariki ya greenwich. mji wa kigoma upo nyuzi 29 mashariki. hapo pana tofauti ya nyuzi 16. kwenye masaa, nyuzi 15 ni sawa na saa 1. hivyo masaa wanayotumia kigoma na masaa halisi kunatofauti ya saa moja.
inabidi wana kigomamuanze kutumia masaa yenu halisi.
Na ndio maana maendeleo yamesuasua sana Mtwara na Kigoma.
Kigoma sio Tanzania Nyerere aliuiba mkoa wa Burundi. Ndio maana ata watu wa huko hatufanani nao.
tanzania tunatumia masaa ya kwenye longitudo 45 mashariki ya greenwich. mji wa kigoma upo nyuzi 29 mashariki. hapo pana tofauti ya nyuzi 16. kwenye masaa, nyuzi 15 ni sawa na saa 1. hivyo masaa wanayotumia kigoma na masaa halisi kunatofauti ya saa moja.
inabidi wana kigomamuanze kutumia masaa yenu halisi.
Haiwezekani kamwe kwa Kigoma kuwa saa moja mbele. Latitudes na longitudes za Kigoma zinaweza kuifanya Kigoma kuwa saa moja nyuma na sio mbele kama unavyosema Mh Red Giant .
Halafu time zones hazifuati longitudes na latitudes pekee. Geographical boundaries zinahusika pia na ndio maana muda (time) wa Kigoma ni sawa na muda (time) wa Tanzania kwa ujumla na si vinginevyo .
Na yote haya Zito ndio kasababisha vinginevyo muda ungekua kua sawa,
Kigoma itakua nyuma lisaa limoja itakua saa 16:55.
naomba unisahihishe nilipokosea.
ninamaanisha kwa sasa kigoma wako mbele. nimetumia kigoma yenyewe kama reference. wako saa moja mbele kuliko walivyotakiwa kuwa.
Na yote haya Zito ndio kasababisha vinginevyo muda ungekua kua sawa,
si ndiyo maana nasema iko mbele! ilitakiwa kuwa sawa na hizo nchi lakini yenyewe iko mbele. ila kuna mambo mengi kwenye kuset time zones.kama rwandA na Burundi Wako saa moja nyuma iweje kigoma iwe mbele??mana kigoma inapakana na hizo nchi
kigoma iko mbele saa moja kuliko ilivyotakiwa kuwa. kama kigoma ni saa saba baujue ilitakiwa kuwa saa sita. hivyo kuwa saa saba ni kuwa mbele saa moja. harafu nilisema kama dar ni saa 2 kigoma ilitakiwa kuwa saa 1. umepindua.Utata upo kwenye kichwa cha habari. Unaposema wana Kigoma wapo Mbele kwa saa 1. Swali; wapo mbele ya nini, nchi au Mji? Kwa ufafanuzi wa ndani imeonyesha kuwa ulimaanisha kama tanzania au Dar ni saa 1.00asbh, basi kigoma wawe mbele saa moja yaani kule kigoma iwe saa 2.00asbh. maelezo yako ni kinyume na kanuni za jografia ambazo zinasema sehem yoyote (nchi au mji) iliyopo mashariki huwa inakuwa mbele ki-masaa au madakika ukilinganisha na nchi au mji uliopo magharibi. Hata jua siku zote linawahi kuchomoza mashariki. Hii ina maana nchi/miji ya mashariki kunatangulia kucha halafu inafuata miji ya magharibi. Ndio wakati tz ni 1.00asbh wenzetu wa malawi, zambia, DRC huwa inakuwa saa 12.00asbh (wapi nyuma saa 1 kwa vile wapo magharibi kwetu) na tz ipo mbele kwao kwa vile ipo upande wa mashariki yao.
Ingeleta maana ungesema muda wa Kigoma uwe/upo mbele ya muda wa zambia Kongo, malawi. nafikiri umenipata mleta mada.
Haiwezekani kamwe kwa Kigoma kuwa saa moja mbele. Latitudes na longitudes za Kigoma zinaweza kuifanya Kigoma kuwa saa moja nyuma na sio mbele kama unavyosema Mh Red Giant .
Halafu time zones hazifuati longitudes na latitudes pekee. Geographical boundaries zinahusika pia na ndio maana muda (time) wa Kigoma ni sawa na muda (time) wa Tanzania kwa ujumla na si vinginevyo .
Na yote haya Zito ndio kasababisha vinginevyo muda ungekua kua sawa,
perepeche For more reference please visit Time Zone â what is it and why have them?kwa mantiki yako,mbona los angeles california na new york,kuna tofauti kubwa tena sana ya masaa wakati kote ni marekani,kwanini wasitumie time zone moja