Kigoma hatuna deni na Mama

Kigoma hatuna deni na Mama

Kigoma Hatuna tena deni na Mama;
1. International airport imejengwa,
2. Lami mpaka mlangoni,
3. Ambulance boats kama zote Lake Tanganyika.
4. SGR mpaka Burundi.
Nyie hamna deni naye ila Burundi tuna deni naye!
 
Na kweli hamna deni na mama shule zote kigoma zina madawati ,barabara zote zina lami ,huduma ya maji kigoma ni fire yaaan maji unaoga mpaka una garagara,Kigoma ina viwanda vya kutosha na wana kigoma wote wameajiliwa.Hosptal kila kona yaan huduma ya afya ni kama bure kwa nn tumdai ...alisikika mbulu kenge mmoja akisema .....fuxaxnn̈
 
Back
Top Bottom