Kigoma Hatuna tena deni na Mama;
1. International airport imejengwa,
2. Lami mpaka mlangoni,
3. Ambulance boats kama zote Lake Tanganyika.
4. SGR mpaka Burundi.
Ukiachana na username, humo ndani naona unapaka mafuta kwa mgongo wa chupa makusudi kabisa. Anyway, bila D 2 mtu hawezi kuelewa ulivyomsifia mamaππππππ