Kigoma: Daktari feki aliyetibu kwa muda wa miaka 10 akamatwa

Wamrudishe School of Medicine MUHAS awekewe panel ya maprofesa wanaa wamchimbishe akifaulu apewe cheti arudi kazini,tuna uhaba wa wataalam wa Afya
 
Miaka Kumi operations mbili ...angepewa tu adhabu na baada ya hapo busara itumike kwa kutumia sababu zinzojitosheleza........Haina faida kumfungia mtu mwenye ujuzi kwa faida ya wengi lakini apewe fundisho aelewe kosa na baadae atumike kwa uhitaji wa watu.....hawa wanaotuletea sheria zao pia huzitumia kwa misingi na changamoto za kujenga, unaweza jidanganya unafuata sheria huku unapoteza ,nje ni utendaji kwanza elimu baadae na huyu kwa vyeti vya fani ni kosa kubwa na kama kweli ametibu miaka kumi hawezi fanana na mtu atakayeghushi leo vyeti na ashindwe kufanya kazi kwa maana nyingine hicho ni kipaji ...............je alishafanya operation nyingine ndan ya hiyo miaka kumi zikafanikiwa? huwez kuchukua uamuzi kichwa kichwa tu na hata mahospitalini bado vifo vinaendelea kuwepo ili hali watu wenye vyeti wapo na huyu angetumika kama case study vyuoni au elimu flani hivi pengine ana uwezo mkubwa sana kwenye vitu flani au hata akaendelea kufanya kazi chini ya ulinzi kwa kupima namna anavyofanya kazi zake na naamin kuna mahala angesaidia ; wenzetu hawakugunduaga meli/ndege hivi hivi ilchukua mda kushirikisha watu wengi tena wengine walikuwa ni vilaza wa mwisho lakini walkua na namna yao ya kufikiri wakapewa thamani wakasikiizwa katika kukosoana ndivyo wanafika wanakofika leo
 
Kwa muda wa MIAKA 10? Kuna mambo hapa duniani yanatokea Tanzania tu;huyakuti kwengine.MIAKA 10 hajagundulika?
 
Ameshazoeya huyo wamuache tu miaka kumi mchezo kwanza ni udhaifu hata kutoaga taarifa nyingine miaka kumi ni umri wa mtoto na anasoma darasa la nne ati
 
Miaka 11? Seriously? Ila kama anatibu na watu wanapona wamtoe tu wasimchukulie hatua ila asiendelee kutibu.

Au kama vipi wampeleke shule maana inaoneka hapo issue kubwa ni cheti sio ujuzi.
 
Nakuunga mkono, mtu ambaye hajawahi kupitia mafunzo ya udaktari uambiwe mgonjwa huyu hapa mfanyie operation sijui utaanzia wapi. Maana hata wale manesi wanaokusogezea vifaa watashangaa unaanza na kifaa sicho na haiwezekani. Alimaliza mafunzo ila mtihani wa makaratasi akafeli mwaka wa mwisho huyo.[/QUOTE
Duh, kweli Wabongo akili zetu zinatutosha wenyewe!

Kuna kufaulu mtihani, lkn hii haitoshi, lazima ufudhu kivitendo sababu maisha ya binadamu hayana mbadala.

Lazima uthibitike pasi wasi uwezo wako wa kutibu binadamu ndipo uaminike na kuthibishwa na Mamlaka husika.

Sasa wewe unamuunga mkono sababu tu kathubutu kutibu! Vichaa wengi wana uwezo wa kufanya zaidi ya hilo



Sasa kuna watu mnatetea upumbavu huu kisa tu
 
Experience matters zamani kulikuwepo ma midwives walikua wamafanya kazi kwabidii.
Sema proffession inayoongoza kuwa na watu feki Education. Cjui kwanini
 
Experience matters zamani kulikuwepo ma midwives walikua wamafanya kazi kwabidii.
Sema proffession inayoongoza kuwa na watu feki Education. Cjui kwanini
bsi huyo ni daktari kabisa kama kafanya kazi miaka 10 ina maana naweza kutib vizur kuliko dakari mchanga kazin
Alafu ukizingatia magonjwa yetu makuu sehemu nyingi ni malaria, kuharisha, kifua, kikohozi, mapunye, mapele, kuhara damu, kuzalisha wamama..in this case kwanini mtu asipige kazi kiasi kwamba inakuwa ngumu kumshitukia. Ikija case kubwa kama kawaida anakushauri uende hospitali kubwa
 
Ukusikia wagonjwa waliokufa ? Huyo afungwe miaka mingi tu , mbona jina hawajamtaja ?
Hapana huyu wampeleke akasome huenda atakuwa doctor mmoja mkubwa sana na akawa msaada kwa jamii.

Afu hii ishu siyo kwa madoctor tuu serikali haijali vipaji vingi sana mpaka watu wana amua kugushi
 
Back
Top Bottom