hakika!Huyu sio feki tena wamtunukie tu vyeti vyake
Umejuaje kashindwa Mara mbili ? Je unajua sehemu nyingine alizopita ?Ten years kashindwa mara mbili, wakati kuna madaktari sio fake lakini ndani ya mwaka tu washafanya makosa karibu 10 mara wamesahau mikasi, mara wamechanganya wagonjwa....
Ushauri kama huyu jamaa kazi anafanya nzuri ni bora wamuweke chini ya uwangalizi tu kila anapofanya kazi.
We punga naona unahamu ya kufumuliwa rindaTafuta na wewe uajiriwe sister
swali la. msingi sana!Sijaelewa. Alikuwa anajitolea au analipwa mshahara kabisa?
Ana CV imeshiba huyo, huenda amesomea labda ali-discoKhaaa kuna vitu vya kufeki jamani mtu anawezaje kufeki udakitari kwa miaka kumi? Huyo atakuwa labda alisomea ila hakuwa na vyeti
Kweli inawezekana alidisco bwanaAna CV imeshiba huyo, huenda amesomea labda ali-disco
Alitumia vyeti feki mkuu na lazima atakuwa alikuwa na idea ya udaktari hivyo waati anaanza alikuwa anajifanya kama anajifunza na mwisho wa siku akapata ujasiri wa kwenda taasisi moja baada ya nyingineswali la. msingi sana!
kama alifanya hospital mbali mbali alipataje hiyo nafasi??
Wewe mdada kaa kimyaWe punga naona unahamu ya kufumuliwa rinda
Exactly!Kweli inawezekana alidisco bwana
Koti, tai , mawani na kipara vinatosha kuona kuwa ni daktari bingwa.Du Miaka 10 bila kujulikana si mchezo.
Nitakufumua ilo ta.tako kenge weWewe mdada kaa kimya