Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 117,703
- 218,232
Huyo demu ni mikosi mitupu , uzuri wenyewe hana ! Hivi demu wa wanaume 100 ana utamu gani ?Ila wema ana nyota ya kufilisi tu (idriss nae hana hata senti)
Huyo demu ni mikosi mitupu , uzuri wenyewe hana ! Hivi demu wa wanaume 100 ana utamu gani ?Ila wema ana nyota ya kufilisi tu (idriss nae hana hata senti)
Huyo demu ni mikosi mitupu , uzuri wenyewe hana ! Hivi demu wa wanaume 100 ana utamu gani ?
Uchochez gan mkuu?Achà uchochezi unazo 7ml zisizo na kazi?
Missing u.Chezea Wema na Kajala walilamba pesa za baba wa watu aiseee, wacha aozee Segerea
Bwana altezza wa makonda nshamjua ni kijana wa KITAA ,PUNDA WA MACHAPTA INGAWA WALIZINGUANAMsimu wenywe wa mabungo hela hana alafu insidiosa kufungwa...ah acha TU aonje jela
Hela zake aliwaonga sana madem....
Ova
Mcng u moree hesabu zimefika mkuu
Mkuu, Machapta kumbe ni Mzee wa ngada?Bwana altezza wa makonda nshamjua ni kijana wa KITAA ,PUNDA WA MACHAPTA INGAWA WALIZINGUANA
Mkuu, Machapta kumbe ni Mzee wa ngada?
Mbona hujanijulisha Malkia wangu? Naja kukuchukua twende ujichagulie simu unayoipenda.Nimeibiwa simu mkuu