Karibu nyumbani,Kweli upepo wa Kinana unavuma kwa kasi ya ajabu.... Aliyekuwa mhimili wa CHADEMA kwenye uchaguzi 2010 kwenye kampeni za ubunge Ilemela na Nyamagana ndg.Milton Lutabana ameamua rudi CCM.. Sababu CHADEMA hakina sera wala mipango ya kuwaletea maendeleo wananchi ni porojo na fujo tu.
Kweli upepo wa Kinana unavuma
kwa kasi ya ajabu.... Aliyekuwa mhimili wa CHADEMA kwenye uchaguzi 2010
kwenye kampeni za ubunge Ilemela na Nyamagana ndg.Milton Lutabana
ameamua rudi CCM.. Sababu CHADEMA hakina sera wala mipango ya kuwaletea
maendeleo wananchi ni porojo na fujo tu.
Karibu nyumbani,
Waite na wenzako muje mjenge taifa
Kweli upepo wa Kinana unavuma kwa kasi ya ajabu.... Aliyekuwa mhimili wa CHADEMA kwenye uchaguzi 2010 kwenye kampeni za ubunge Ilemela na Nyamagana ndg.Milton Lutabana ameamua rudi CCM.. Sababu CHADEMA hakina sera wala mipango ya kuwaletea maendeleo wananchi ni porojo na fujo tu.
hana aibu! Watanzania wanachekeshaga jamani, sijui!!! Hivi huyo alipoingia chadema anayosema sasa hakuona? Kufanya hivyo mara nyingi huonesha ni kiasi gani mtu ni mbumbu,bu badala ya kuonesha werevu. Akafie mbali huko aendako!
omeKweli upepo wa Kinana unavuma kwa kasi ya ajabu.... Aliyekuwa mhimili wa CHADEMA kwenye uchaguzi 2010 kwenye kampeni za ubunge Ilemela na Nyamagana ndg.Milton Lutabana ameamua rudi CCM.. Sababu CHADEMA hakina sera wala mipango ya kuwaletea maendeleo wananchi ni porojo na fujo tu.
Karibu Mwana mpotevu. Rudi kwa baba yako.