Kigoda cha Mwenge chaibiwa Arusha

Kigoda cha Mwenge chaibiwa Arusha

Hahahaaa... Kuna jamaa mmoja huko Mbeya mwaka juzi aliwashia sigara kwenye mwenge. Ilibidi achezee kichapo lakini...
hii nayo imeniacha hoi mkuu, kuna watu wana uthubutu.
 
Manufaa hauna kwako sisi tunajivunia mwenge wetu, na njaa nyngne mbaya

acha ujinga wewe kwani mwenge una faida gani zaidi ni kutengewa fedha nyingi ambazo ni kodi za wananchi..... na bila mbio za mwenge hiyo miradi ya kijinga na kishenzi haitofunguliwa...??? hebu acheni ushabiki wa mambo ya kishenzi nyie baada ya kufanya kazi mnabakia kukimbiza mwenge na kulalamika maisha ni magumu wakati hamfanyi azi....?? mwenge ni UJINGA kwenye nchi kama Tz ambayo inahitaji watu wafanye kazi ila waondokane na umaskini, ujinga na maradhi.... hiyo bajeti ya mbio za mwenge si ikanunue dawa, madawati, motisha kwa walimu na madaktari hakuna si tunakazana na kuimbiza mwenge usio na msingi wala manufaa kwa taifa hili..
 
Back
Top Bottom