stable woman
JF-Expert Member
- Nov 12, 2013
- 3,883
- 4,484
Habarini
Natumai nyote mu wazima kabisa nami namshukuru Mungu nipo vyema!
Hebu tuligeukie suala hili la umri kwenye mahusiano yetu ya kimapenzi!
mimi sio mfanya utafiti ila naongea kwa ufahamu wangu tu
Utofauti wa umri je pia ni kigezo cha kujenga mahusiano bora? Namaanisha age difference maana nimekuwa nikiona vijana kwa vijana wanasumbuana mfano, kijana mwenye 25 akiwa na binti wa 22 yrs au juu yake kidogo kunakuwa na msuguano usioisha!
Au wao kwa wao kupishana ndani ya miaka mitano hadi saba hivi bado kunakuwa na fukuto lisiloisha la mara kwa mara!
lakini kwa watu waliopishana zaidi ya miaka kumi na kuendelea hali huwa shwari kidogo!
Je ni kweli kigezo cha Umri ni muhimu kwa wahusika kabla ya kuanza mahusiano? Epuka kejeli na matusi pia.......nawasilisha
Asanteni
Natumai nyote mu wazima kabisa nami namshukuru Mungu nipo vyema!
Hebu tuligeukie suala hili la umri kwenye mahusiano yetu ya kimapenzi!
mimi sio mfanya utafiti ila naongea kwa ufahamu wangu tu
Utofauti wa umri je pia ni kigezo cha kujenga mahusiano bora? Namaanisha age difference maana nimekuwa nikiona vijana kwa vijana wanasumbuana mfano, kijana mwenye 25 akiwa na binti wa 22 yrs au juu yake kidogo kunakuwa na msuguano usioisha!
Au wao kwa wao kupishana ndani ya miaka mitano hadi saba hivi bado kunakuwa na fukuto lisiloisha la mara kwa mara!
lakini kwa watu waliopishana zaidi ya miaka kumi na kuendelea hali huwa shwari kidogo!
Je ni kweli kigezo cha Umri ni muhimu kwa wahusika kabla ya kuanza mahusiano? Epuka kejeli na matusi pia.......nawasilisha
Asanteni