Kamgomoli
JF-Expert Member
- May 3, 2018
- 1,865
- 3,802
Wakati Jakaya anaondoka aliacha mpango kabambe wa kuujenga mji wa kisasa Kigamboni. Ni mji ulitajwa kuwa Dubai ya Afrika Mashariki.
Lakini toka aingie Jiwe mradi hauzungumzwi tena. Ni kama umekufa na haupo tena.
Juzi wakati anazindua Wilaya ya Kigamboni kuna kauli aliziongea kengele ya tahadhari ikagonga kichwani kwamba Mbagala inahamia Kigamboni. Maana alitamka kuwa anairudisha ardhi kwa wananchi wagawiwe viwanja bila kuisahau CCM.
Mwenye taarifa rasmi anisaidie maana kama ule mradi ungekamilika angalau na sisi bongo tungekuwa na sehemu ya kujidai kama majiji ya Johannesburg, Pretoria n.k.
Ramani yake ilikuwa ya kijanja sana ikiwa na Shopping Malls za kijanja, maduka makubwa, viwanja vya michezo, majumba ya starehe, bustani nzuri majengo ya kisasa kabisa beach za kuvutia n.k.
Hata kama kulikuwa na makosa fulani kwenye mradi wa awali nadhani yangerekebishwa bila kuathiri wazo lenyewe.
Maendeleo hayana vyama.
Sent using Jamii Forums mobile app
Lakini toka aingie Jiwe mradi hauzungumzwi tena. Ni kama umekufa na haupo tena.
Juzi wakati anazindua Wilaya ya Kigamboni kuna kauli aliziongea kengele ya tahadhari ikagonga kichwani kwamba Mbagala inahamia Kigamboni. Maana alitamka kuwa anairudisha ardhi kwa wananchi wagawiwe viwanja bila kuisahau CCM.
Mwenye taarifa rasmi anisaidie maana kama ule mradi ungekamilika angalau na sisi bongo tungekuwa na sehemu ya kujidai kama majiji ya Johannesburg, Pretoria n.k.
Ramani yake ilikuwa ya kijanja sana ikiwa na Shopping Malls za kijanja, maduka makubwa, viwanja vya michezo, majumba ya starehe, bustani nzuri majengo ya kisasa kabisa beach za kuvutia n.k.
Hata kama kulikuwa na makosa fulani kwenye mradi wa awali nadhani yangerekebishwa bila kuathiri wazo lenyewe.
Maendeleo hayana vyama.
Sent using Jamii Forums mobile app