GE2025 Kigamboni tunaenda na Yericko Nyerere

GE2025 Kigamboni tunaenda na Yericko Nyerere

Matukio, Taarifa, Habari na Mijadala ya Wananchi WAKATI wa Mchakato wa Uchaguzi Mkuu 2025
Labda kule kigoma mjini wanaweza kumpa zito
Zito atahangaishwa sana na hilo chawa kwenye uchaguzi huu na asipoangalia anaenda kuangukia pua safari hii.

Alishafubaza sifa zake kutokana na siasa zake maslahi anazofanya!
 
Familia ya Mwalimu Nyerere imeshakuzuia kutumia jina la Mzee wao mbona husikii? Kwani huna baba na babu yako utumie majina yao?
 
Tunahitaji vijana wenye uthubutu na wenye utambuzi.

Yericko Nyerere Anatosha
Wewe ni Yeriko. Ndiye mjinga kiasi hiki akidhani na wengine ni wajinga kama yeye. Unaazisha thread ya kujisifu mwenyewe. Tuzo za ''uandishi'' wa vitabu unajipa wakati ukujua ''vitabu'' vyako ni muunganiko wa maneno yasiyo na mantiki yoyote.....
 
Wewe ni Yeriko. Ndiye mjinga kiasi hiki akidhani na wengine ni wajinga kama yeye. Unaazisha thread ya kujisifu mwenyewe. Tuzo za ''uandishi'' wa vitabu unajipa wakati ukujua ''vitabu'' vyako ni muunganiko wa maneno yasiyo na mantiki yoyote.....
Aliyekuzidi kakuzidi mkuu
 
Mkuu hakuna chama ambacho hakipiganii maslahi yake binafsi
Labda tu sikuliweka sawa kwa namna nilivyolielezea!

Kwa maelezo ya Polepole Act ni 'mpango wa kando' wa Ccm!

Kwa hiyo kwa wapenda mageuzi huoni watamchukulia kama ni malaya wa kisiasa asiyewafaa kwa mabadiliko?
 
Back
Top Bottom