King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 51,672
- 68,641
Ni katika sakata la ujenzi wa mji mpya kigamboni,wamesema serikali iking'ang'ania na mpango wao basi wataifungulia kesi katika mahakama ya kimataifa ya uhalifu na kivita ya uholanzi(The Hague)
Source:Gazeti la leo
Source:Gazeti la leo