Kigamboni: Hali ya usalama si shwari

Kigamboni: Hali ya usalama si shwari

Brodre

JF-Expert Member
Joined
Aug 23, 2012
Posts
2,587
Reaction score
1,855
Kumezuka majambazi wanaovamia hostel za wanafunzi na nyumba za watu, wanatembea wengi wakiwa na mapanga na wanavunja milango wakiiba valuable items kama laptop simu na hela polisi mko wapi muokoe hii hali inamaana hamjui?
 
Kumezuka majambazi wanaovamia hostel za wanafunzi na nyumba za watu, wanatembea wengi wakiwa na mapanga na wanavunja milango wakiiba valuable items kama laptop simu na hela polisi mko wapi muokoe hii hali inamaana hamjui?

Imetokea Kigamboni maeneo gani mkuu?
 
Imetokea Kigamboni maeneo gani mkuu?

yani hawaangalii kuanzia ferry kuingia ndani hali si poa kabisa wanafunzi wanapakimbia kwasababu hii wiki ya pili sasa kila siku lazima mtu avamiwe jana.ilikua kwa jirani yangu tu
 
Dawa ni kumilki bunduki na wakija unafyatua kama saba hawatarudia. Inashangaza polisi wetu wanapata muda wa kuua na kuiba lakini si kulinda raia!
Kumezuka majambazi wanaovamia hostel za wanafunzi na nyumba za watu, wanatembea wengi wakiwa na mapanga na wanavunja milango wakiiba valuable items kama laptop simu na hela polisi mko wapi muokoe hii hali inamaana hamjui?
 
Dawa ni kumilki bunduki na wakija unafyatua kama saba hawatarudia. Inashangaza polisi wetu wanapata muda wa kuua na kuiba lakini si kulinda raia!

haa kaka hao wanaingia bila hodi
 
Kumezuka majambazi wanaovamia hostel za wanafunzi na nyumba za watu, wanatembea wengi wakiwa na mapanga na wanavunja milango wakiiba valuable items kama laptop simu na hela polisi mko wapi muokoe hii hali inamaana hamjui?

nani hao hawajui??
 
Bora mjilinde wenyewe kwani polisi wanasubiri mkishaibiwa majambazi wakidondosha hivyo vitu wao wanaviokota na kugawana mfano ni juzi kariakoo.
 
Ngoja polisi wako busy ule mgao wa 150 M naona kuna kudhulumiana. Hivi Polisi amepotelea wapi nae?
 
Last edited by a moderator:
Hata huku kwetu tandika kuna kundi la vijana mida ya jioni wanatembea mtaani kila wanayekutana nae wanampora kama ni simu,walleti na chochote utakochokuwa nacho..wanatembea kama 20 hivi huku wakiimba.
 
Nitafuatilia......

Kamanda, kuna kazi nyingine ni za serikali... sio zako

suala la ulinzi na usalama kwa ujumla linaangukia serikalini, wee ni kuhamasisha ulinzi jamii na mawasiliano bora baina ya mtu na mtu


HILI SI LA LEO WALA JANA: USHAURI, TENGENEZA CONCRETE DOSSIER YA MATUKIO YA UVUNJAJI AMANI, NINI KILIFANYIKA NA NANI NA MWISHO WAKE ULIKUA UPI

IF YOU DO THAT UTAKUA UMEFANYA KUBWA KULIKO "KUFUATILIA"
 
Suala la usalama inatakiwa kupewa kipaumbele maana watu wanajitahidi kujitafutia riziki kwa shida ila hawakai kwa amani. Karibu kina kona ya Dar utapewa story ya watu kuvamiwa usiku.
Je, nini kifanye kupunguza tatizo?

Je, mbezi luis nimeambiwa walimvamia mwanajeshi na kumkata kata mapanga na kuondoka na vitu.....
 
Back
Top Bottom