Kifurushi cha internet mwezi bei rahisi.....

Kifurushi cha internet mwezi bei rahisi.....

angalia vizuri. kifurushi hichi hakijawahi kuwa elfu 10. ni kile ambacho kwa sasa 31000/=

Basi nimekichanganya na kile cha 600MB lkn kilikua practically 3GB...
Statics za modem zinaonesha ushafika 3GB za download lkn ukilogin http://internet.tigo.co.tz unakuta wamekwambia 600MB Remaining sijui ndo kujisahau kwa Tigo au ndo nn...
 
Hawa tigo sitaki kuwasikia kabisa ni waongo kupitiliza. Mimi huwa naunga kifurushi cha kabang ya elfu 10 sidownload chochote zaidi ya kuperuz lakini wiki haishi internet inakuwa haifanyi kazi.
Wiki hizi 2 wamenikera zaidi internet yao ilikuwa slow sana hata nilishindwa kuingia JF hadi nikajua may be JF inafanyiwa marekebisho kwenda kujaribu kwenye Computer ikawa inafanya kazi.
Mpaka sasa sijui mtandao gani unafaa kwa internet voda pia nishatumia ndio haifai kabisa. Airtel nayo kimeo kama toka jana vocha haiingii nikaingiza mara nyingi mpaka wakanizuia kuingiza vocha.
 
Hawa tigo sitaki kuwasikia kabisa ni waongo kupitiliza. Mimi huwa naunga kifurushi cha kabang ya elfu 10 sidownload chochote zaidi ya kuperuz lakini wiki haishi internet inakuwa haifanyi kazi.
Wiki hizi 2 wamenikera zaidi internet yao ilikuwa slow sana hata nilishindwa kuingia JF hadi nikajua may be JF inafanyiwa marekebisho kwenda kujaribu kwenye Computer ikawa inafanya kazi.
Mpaka sasa sijui mtandao gani unafaa kwa internet voda pia nishatumia ndio haifai kabisa. Airtel nayo kimeo kama toka jana vocha haiingii nikaingiza mara nyingi mpaka wakanizuia kuingiza vocha.

kwa staili hiyo yako hata tukikupa fiber to your premise utasema haikufai na ni kimeo. au upo nje ya mji wewe
 
Hiyo ya voda ni masaa 24 na ikiisha waweza ongeza tena na tena na tena na tena na..............tena[SUP]nth[/SUP].
 
Icho kifurushi chs tigo n full pack? Texts mbs na minutes au vip vip wakuu

hichi ni special kwa internet tu kaka. hakina minutes wala texts. ni special zaidi kwa wale waitwao heavy users au download junkies
 
Mkuu Paje umerudi tena kwenye jukwaa letu! Kitambo sana, karibu sana!
 
Last edited by a moderator:
Mimi natumia airtel internet kwenye simu safi kiasi-Lakini kwa modem sipati kitu kabisa, kuna ufumbuzi wowote?
 
Back
Top Bottom