Kile kifurushi cha month plus cha mwezi unaweza kukipata kwa 9000/= kama utakitaka. utanipa namba yako nitakuunganisha kiaina. utalipia kwa mpesa, tigo pesa , ezypesa etc....
View attachment 148774
Mimi hawa Tigo kasi yao haijawahi nilidhisha labda huko Dar; au hii month plus inakasi zaidi.., anyway ni GB ngapi hicho kujaribu sio vibaya
Kile kifurushi cha month plus cha mwezi unaweza kukipata kwa 9000/= kama utakitaka. utanipa namba yako nitakuunganisha kiaina. utalipia kwa mpesa, tigo pesa , ezypesa etc....
View attachment 148774
Kwanini ujiunge upewe Gb chache kwa mwezi kwa bei ghali wakati voda kwa masaa 24 unapata GB 1 internet yenye kasi??
Kwa haraka haraka utatumia zaid ya GB 30 kwa mwezi kwa elfu 15
Sasa hicho cha voda unajiungaje mkuu? I real need that service....
Kwanini ujiunge upewe Gb chache kwa mwezi kwa bei ghali wakati voda kwa masaa 24 unapata GB 1 internet yenye kasi??
Kwa haraka haraka utatumia zaid ya GB 30 kwa mwezi kwa elfu 15
hizo gb3 ndio full speed halafu baada ya hapo inakua unlimited kwa speed ndogo.
Nenda kwenye *149*01# chagua internet then siku then wajanja night hapo utapata gb 1 kwa 24 hrs
24 hrs kivipi wakati wameandika kuanzia saa 4 usiku mpaka saa 12 asubuhi?
mkuu naomba niambie kifurushi kipi unapa gb 1 kwa masaa 24 plzKwanini ujiunge upewe Gb chache kwa mwezi kwa bei ghali wakati voda kwa masaa 24 unapata GB 1 internet yenye kasi??
Kwa haraka haraka utatumia zaid ya GB 30 kwa mwezi kwa elfu 15
Kwann ukubali kulimitiwa kwa apees ndogo? Raha ya net full speed
Usipanic. Izo mbwembwe tu.
Ni.masaa 24 na unaweza jiunga utakavyo
kila mtu na matumizi yake kaka. mtu anestream youtube kwa kawaida (360p) kumpa net zaidi ya 1mbps ni uharibifu wa malighafi hivyo wengine wapo radhi speed ndogo ila iwe unlimited.