ludoworld86
Member
- Apr 28, 2013
- 29
- 22
Mbona kwangu inagoma? Napata ujumbe "cheka haipatikani sasa jaribu tena baadaye" nimejaribu line 2 tofauti hakuna mabadiliko
Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
Hilo tatizo sijawahi kupata, ningekushauri ucheki na customer care vodacom. Mitandao ya bongo iko very biased siku hizi. Mfano: kwa mtu aliyezoea kuweka bundle za 10,000/=, baada ya muda flani wanamzuia kuweka bundle za chini ya 10,000/= (bundles za 2,000/=,5,000/= hutaziona kwenye menu yako kabisa) so kuna privileges tofauti tofauti kwa sababu wanazozijua wao.