Kifurushi cha Happy hour

Kifurushi cha Happy hour

Njunwa Wamavoko

JF-Expert Member
Joined
Aug 11, 2012
Posts
5,757
Reaction score
2,388
Za humu wadau

Kuna mdau kanambia Vodacom Tanzania(mtandao wenye kasi ya ajabu(HSPA+) hapa Tanzania kuzidi mitandao mingine kwa makao makuu ya nchi, Dar) Wameanzisha kifurushi ambacho unapata Unlimited ya Internet kwa lisaa limoja kwa TZS 200 au Dakika 20 kwa sh 100

Kwa aliyetumia atupe feedback
Je ni kifurushi cha internet au mda wa maongezi?
Kama ni kifurushi cha Internet basi hamna haja ya wajanja night offer maana 500/- unapata lisaa limoja wakati happy hour unapata masaa mawili na dkk 20

Karibu
 
Unajiunga vipi ? na unaruhusiwa kujiunga mara ngapi kwa siku (infinity au)?
 
Ukichagua hii alafu namba nne unapata happy hour ya maongezi dakika 60 au 20 kwahio unataka kusema pamoja na dakika za maongezi kuna unlimited internet ? (mhh sidhani ngoja tungojee mtu aliyeshajaribu hii kitu)

Mimi mpaka sasa ninavyojua unlimited ya masaa wanao TTCL ukijiunga na Banjuka, nayenyewe ni elfu na ushee kwa peak hours na ofpeak saa tatu mpaka 12 ni 650 kwa lisaa (that's what am using siku hizi nikitaka ku-download series)
 
Ukichagua hii alafu namba nne unapata happy hour ya maongezi dakika 60 au 20 kwahio unataka kusema pamoja na dakika za maongezi kuna unlimited internet ? (mhh sidhani ngoja tungojee mtu aliyeshajaribu hii kitu)

Mimi mpaka sasa ninavyojua unlimited ya masaa wanao TTCL ukijiunga na Banjuka, nayenyewe ni elfu na ushee kwa peak hours na ofpeak saa tatu mpaka 12 ni 650 kwa lisaa (that's what am using siku hizi nikitaka ku-download series)

Na mm najua hiyo kitu ni maongezi tu
Lkn kuna mtu kanambia wameleta ya internet sijui ndo hiyo au la?
 
nimetumiwa message na voda inasema
Habari njema! Bei ya Happy Hour imeshuka hadi Tshs. 199. Piga *147*199# ufurahie intaneti BILA KIKOMO kwa dakika 60. Vodacom. Kazi ni kwako
Sasa hiyo unlimited sijui ni browsing au unlimited downloading ???
Bado sijajaribu
 
Happy hour kujiunga ni *147*199# furahia dakika 60 bila kikomo kwa Tsh 199 wamenitumia sasa hivi msg yao
 
wadau jaribuni tuelezane mimi nitajaribu leo usiku nikipata muda tawapa feedback kwa atakayejaribu kabla tuambiane kama ni unlimited ya ukweli au ni ya vigezo kuzingatiwa
 
Na mm najua hiyo kitu ni maongezi tu
Lkn kuna mtu kanambia wameleta ya internet sijui ndo hiyo au la?
wamenitumia sms hii mchana huu
Code:
Habari njema! Bei ya Happy Hour imeshuka hadi Tsh.199. Piga *147*199# ufurahie intaneti BILA KIKOMO kwa dakika 60. Vodacom, Kazi ni kwako.
 
hamieni Airtel kila kitu ni mteremko!
 
hamieni Airtel kila kitu ni mteremko!
Mteremko gani kwenye Bundle / Internet ? (Kama kweli hii ni unlimited kwa saa moja kwa 199/=) Ni bundle gani ya airtel inayotoa zaidi ya hii ?
 
Nimeitumia sana, tangu iko 300. kwa sasa dial *147*199# unapata 60 minutes unlimited download + browsing. kingine kizuri kwa hii ni kwamba unaweza ukajiunga ukiwa ndani ya wajanja night (chochote utakacho download hapa hakitakuwa counted kwenye 1gb ya wajanja night bali happy hour). dkd 60 zikiisha, wajanja night ina resume kama kawa.
 
Nimeitumia sana, tangu iko 300. kwa sasa dial *147*199# unapata 60 minutes unlimited download + browsing. kingine kizuri kwa hii ni kwamba unaweza ukajiunga ukiwa ndani ya wajanja night (chochote utakacho download hapa hakitakuwa counted kwenye 1gb ya wajanja night bali happy hour). dkd 60 zikiisha, wajanja night ina resume kama kawa.
Mbona kwangu inagoma? Napata ujumbe "cheka haipatikani sasa jaribu tena baadaye" nimejaribu line 2 tofauti hakuna mavadiliko


Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Mimi pia nmeitumia sana hiyo toka iko 300.Kifupi combination ya happy hour na wajanja night huwa zinakidhi kabisa mahitaj yangu ya intanet. Ila nadhan kuna watu namba zao haziwezi kupata hiyo huduma.Hii nmejaribu na rafiki yangu ambaye siku nyingi anajaribu kujiunga ila anapewa message kuwa cheka haipatikani.
 
Back
Top Bottom