Shark
JF-Expert Member
- Jan 25, 2010
- 29,455
- 29,134
Kifo kilimtembelea Jamaa mmoja mambo yakawa hivi.
KIFO: Rafiki, leo ni zamu yako, twende.
JAMAA: Ha! Sijawa tayari.
KIFO: Angalia list yangu, jina lako lipo juu kabisa.
JAMAA: Kweli! Lakini tupate chakula na vinywaji kwanza ndo twende, karibu ukae.
KIFO: Sawa.
JAMAA: Kwa siri akamwekea Kifo dawa ya usingizi kwenye kinywaji.
KIFO: Kasinzia.
JAMAA: Kahamisha jina lake kwenye list ya kwanza na kuliweka mwisho kabisa.
KIFO: Alipoamka kamwambia Jamaa,
Rafiki umekuwa mkarimu sana kwangu. Sasa nimeamua kuanza na jina la mwisho! kabisa,duh!
Ama kweli kifo hakikimbiwi.
KIFO: Rafiki, leo ni zamu yako, twende.
JAMAA: Ha! Sijawa tayari.
KIFO: Angalia list yangu, jina lako lipo juu kabisa.
JAMAA: Kweli! Lakini tupate chakula na vinywaji kwanza ndo twende, karibu ukae.
KIFO: Sawa.
JAMAA: Kwa siri akamwekea Kifo dawa ya usingizi kwenye kinywaji.
KIFO: Kasinzia.
JAMAA: Kahamisha jina lake kwenye list ya kwanza na kuliweka mwisho kabisa.
KIFO: Alipoamka kamwambia Jamaa,
Rafiki umekuwa mkarimu sana kwangu. Sasa nimeamua kuanza na jina la mwisho! kabisa,duh!
Ama kweli kifo hakikimbiwi.