Kifo cha ridhaa na kifo cha lazima

Kifo cha ridhaa na kifo cha lazima

Spiritually there is unfinished tasks you are required to finish
Mkuu hapa umenigusa kidogo na mm nina hili tatizo.
Hizi spiritual unfinished tasks zinatoka wapi?Hii ni command kutoka kwa watu au viumbe wengine ama?au ni options zangu mwenyewe?
 
Je, wale wanaofarik tarehe zao za kuzaliwa hii imekaaje?

Na wale inayotokea mwez o tarehe ya kuzaliwa kuwa karibu au kuzikwa katika tarehe hyo hyo imekaaje naomba ufafanuz
 
Je, wale wanaofarik tarehe zao za kuzaliwa hii imekaaje?

Na wale inayotokea mwez o tarehe ya kuzaliwa kuwa karibu au kuzikwa katika tarehe hyo hyo imekaaje naomba ufafanuz
Hili ni jambo kubwa sana na la kipekee na maelezo yake ni marefu kama utakuwa mvumilivu nitakuja na post yake kamili
 
Mkuu kifo kimeumbwa. Mfano wako wa nzi haufit hapo kwenye mada. Kifo cha binadamu yoyote lazima kiwe na sababu. Hata uishi mpaka miaka 300 siku ukifa kutakuwa na sababu iliyosababisha kifo chako.

Kama utakufa kwa kupigwa risasi je kifo hiko ni cha kujitakia? Kama nilikuwa niishi miaka 60 na nimekufa nikiwa na 25 ikifika 60 yrs nitakufa tena?
Hujaelewa
 
Back
Top Bottom