Akwota
JF-Expert Member
- Dec 15, 2016
- 792
- 633
Mkuu mie nilikwa darasa la nne.Nilikua darasa la pili Mwanza shule Shule msingi Makongoro. R.I.P Mwl J.K.N
Mkuu mie nilikwa darasa la nne.Nilikua darasa la pili Mwanza shule Shule msingi Makongoro. R.I.P Mwl J.K.N
Nilikuwa ndio nimestaafu na miaka 60 toka utumishi wa umma
To meDah! 1999 niko Form One, Makongo High School.
Dar Technical college, Civil and BuildingDar Technical College, kwa sasa DIT. Mechanical
Chaaa.....Dar Technical college, Civil and Building
Darasa la pili
Nzera ps
Lazima niwe mkweli nilikuwa darasa la sita shule ya msingi Mbuyuni hapo njia ya kuelekea posta, tulirudishw home kisa nyerere kafa, nilipofika nyumbani nilimkuta mwenye nyumba analia mithili ya mtu aliyebakwa
Hahaahahahahha....Lazima niwe mkweli nilikuwa darasa la sita shule ya msingi Mbuyuni hapo njia ya kuelekea posta, tulirudishw home kisa nyerere kafa, nilipofika nyumbani nilimkuta mwenye nyumba analia mithili ya mtu aliyebakwa