kitumbotala
JF-Expert Member
- Aug 6, 2015
- 516
- 621
Baada ya taarifa zilizojaa simanzi kusambaa nchi nzima na hata nje ya nchi, kuhusu aliyekuwa mbunge wa jimbo la Songea mjini kupitia chama cha CCM Mh. Leonidas, kufariki dunia,
aliyekuwa mpinzani wake aliyeonekana kumpa wasiwasi mkubwa wa kumshinda kwenye jimbo hilo katika kinyang'anyiro cha jimbo hilo la Songea kupitia chama cha Demokrasia na maendeleo-CHADEMA Mh. Frederick Fussi ameibuka na kuonyesha hisia zake.
Kupitia ukurasa wake wa Tweeter ameandika kuonyesha huzuni yake juu ya mwanasiasa huyo wa CCM.
[HASHTAG]#MUNGU[/HASHTAG] AILAZE ROHO YA MAREHEMU PEMA PEPONI.AMEN.
aliyekuwa mpinzani wake aliyeonekana kumpa wasiwasi mkubwa wa kumshinda kwenye jimbo hilo katika kinyang'anyiro cha jimbo hilo la Songea kupitia chama cha Demokrasia na maendeleo-CHADEMA Mh. Frederick Fussi ameibuka na kuonyesha hisia zake.
Kupitia ukurasa wake wa Tweeter ameandika kuonyesha huzuni yake juu ya mwanasiasa huyo wa CCM.
[HASHTAG]#MUNGU[/HASHTAG] AILAZE ROHO YA MAREHEMU PEMA PEPONI.AMEN.