Busu la Kenge
JF-Expert Member
- Jun 13, 2025
- 2,331
- 4,241
Kipenzi chetu cha dhati Imam Hussain ibn Ali A.S mkombozi wa waislamu aliuwawa kikatili kuutetea na kuulinda uislamu dhidi ya dhulma, ukandamizaji, unyanyasaji na uonevu.
Alijitolea nafsi ili haki ipatikane duniani Na kurudisha utu wa ubinadamu.
Wanadamu Sasa hivi tumejawa dhulma na uonevu na kuelekea kukandamiza, kunyanyasa na kuonea wengine.
Kifo cha Imam wetu kinaniuma Sana Hadi nashindwa kulala.
Tupiganieni haki Na haki itawale.
Alijitolea nafsi ili haki ipatikane duniani Na kurudisha utu wa ubinadamu.
Wanadamu Sasa hivi tumejawa dhulma na uonevu na kuelekea kukandamiza, kunyanyasa na kuonea wengine.
Kifo cha Imam wetu kinaniuma Sana Hadi nashindwa kulala.
Tupiganieni haki Na haki itawale.