Tetesi: Kifo cha ginimbi, mazito yaibuka...

Tetesi: Kifo cha ginimbi, mazito yaibuka...

Mrithi wa ginimbi anatakiwa arithi na huo mjoka mbona patamu hapo, hizi mali za dunia zina masharti sana, ni heri kufa mkavu kuliko na mali za kichawi
 
Vipi yule jamaa wa Uganda nae si alizikwa na hela? Kuna mtu alikwenda kufungua kesi mahakamani kupinga yule jamaa kuzikwa n a hela, je yule mfunguaji wa kesi alifanikiwa?

Mara nyingi pesa zao zinakua za kuzimu na wanafanya mazindiko ya kufa mtu before wazike so hakuna wa kuzigusa ukigusa cha moto utAkiona
 
Binamu tunatiAna nyege asubuh asubuh ndo mambo gan hayo
Fresh tu sisi ni nyama ya hamu, ikikaa vizuri unweka tu, maisha ndiyo haya haya, heri unipe binamu kuliko kumpa baharia tapeli
 
Nikukpa naogopa utantangaza binamu
Binamu kwa binamu ndugu sisi, nikukutangaza nimejitangaza eti, tutwangane tu akitokea baharia anataka kutoa mahari tunamsoma kwanza je ana mijini na majoka akiwa na hizo mambo, tunaachana nae tunaendelea kula
 
Binamu kwa binamu ndugu sisi, nikukutangaza nimejitangaza eti, tutwangane tu akitokea baharia anataka kutoa mahari tunamsoma kwanza je ana mijini na majoka akiwa na hizo mambo, tunaachana nae tunaendelea kula

binamu umejua kunipa raha, mara boom binamu kanipa mimba
 
binamu umejua kunipa raha, mara boom binamu kanipa mimba
Tunalea tu katoto ketu bila vikwazo ndoa ya hiari itapitishwa, uzuri binamu kwa binamu mambo yanakua moto moto sana hakuna kuachana ni kifo tu kitupeleke huko
 
We bwana w kama mtu ana gari zaidi ya ishirini ambazo bei zake kwa kila moja sio chini ama zinakaribiana na dola laki nne kwanini asiwe bilionea kuwa na adabu....
Hizo gari una uhakika ni zake kweli?

Alikuwa anazimiliki free and clear na titles anazo au alikuwa ana lease tu?

Na alikuwa bilionea wa currency gani?

Halafu bilioni unaijua au unaisikia tu?

Na hata angekuwa na gari 40 za dola laki nne kila moja, jumla yake haikaribii hata kidogo kwenye bilioni.

Bilioni si tarakimu ya kitoto kama mnavyoifanya iwe.
 
Utapeli wa level zake huwez kuufanya bila kushirikiana na nguvu za Giza binamu

Ingawa marehemu alikua ni msomi mzuri tu , alikua na masters ya business administration, sasa wenzangu na mie mnataka kuwa kama ginimbi hata certificate hamna

Uzuri matapel wa nchi za wenzetu wako smart sana kichwan , wanatapel had wazungu wenye elimu zao za juu sio bongo hapa, hata kiingereza kuongea shida Sijui wanamtapel nani
 
IMG_8548.jpg

Wakaiba na viatu vya marehemu, Jaman nimecheka , huyu sio binamu yangu matolA kweli , kwel kufa kufaana
 
Hilo joka kwa sasa lipo wapi?
Tunaweza kupata picha ya hilo joka, hasa wakati likimpa pesa?!
Halafu kama kuna uwezekano wa kulipata, ninalihitaji nina kazi nalo...
Majini na mizimu unaweza kuona kwa macho? Dark spirits hizo, ukimtoa mwanao, Mzazi wako au kaka yako ndo utajua
 
Ukiwa na utajiri fake mwisho wake ni mbaya sana. Subiri tu ushuhudie vijana wa kibongo fleva hapa Bongo uone vifo vyao. Si unakumbuka kuna wengine walikuwa wanaletwa wakiwa maiti toka huko South? Hawa jamaa wana mengi mazito nyuma ya utajiri wao.
Sasa Ngwea alikuwa Billionaire?
 
Mbona ginimbi handsome tu Jaman , halafu ana sura ya kiume, au mlitaka awe na sura kama nuhu mziwanda au richmitindo, mi wanaume kama hawa ndo wananilowesha chupi sio weupe watoto wa mama
Kwakweli watu ni vipofu mbona huyu kama mzuri amekaa kiume zaidi? Achilia wamsemayo ila hii no ni matata.sisi wanawake ndo tunaelewa zaidi.hapa siongelei utajiri naongelea mwonekano wake sura body ni supper.
 
Back
Top Bottom