Nashangaa sana, ina maana Mwigulu ameshindwa kabisa kumaliza hili?
ww uanona niwe Chama gani?
NSSF, PSPF LAPF hiyo michango si wanakusanya kila siku?
Ni kiongozi gani wa Chama cha siasa hajakopa katika mifuko hii tena wengine zaidi ya mifuko mi3 na kulala mbele
nakushauri KAA NJIA KUU acha siasa za kinafiki wakati huvijui vyama
Umeelewa topic ama umekurupuka kiushabiki tu?Hao ni wavivu hawafanyi kazi
Itafikia wakati hata wake zenu wakishindwa kushika mimba mtailaumu ccm
Habari wapendwa wangu? Nipo ziarani huku kijijini kwetu, kwa kweli hali niliyokutana nayo huku inasikitisha sana! Familia nyingi mlo ni taabu kweli kweli, watu wana hangaika sana, maisha magumu mno kwao, kwa kifupi wamekata tamaa kabisa ya haya maisha.
Kilichonisikitisha zaidi nimekutana na baadhi ya wastaafu, maisha yamewapiga vibaya mno. Wananiambia huu ni mwezi wa sita tangu wamestaafu, lakini mafao yao hayaeleweki yatatoka lini! Jamani CCM mmefikia hatua ya kudhurumu Wazee? Mnafikiri hawa watu wanaishije? Kwanini wasipate pesa zao kwa wakati?
Mwigulu badala ya kuhangaikia kwenda Ikulu, ungepigania hili kwanza. Fanya juu chini hawa wastaafu wapate pesa zao kwa wakati, unafikiri wanaishije na hawana mishahara tena? Wewe unaweza kuishi zaidi ya mwezi bila kipato chochote?
Wamenihakikishia walifuata taratibu zote, ikiwa ni pamoja na kuwasilisha nyaraka zao zote kwenye ofisi za PSPF, lakini hadi leo mambo hayaeleweki tu!
Mkitaka ahueni ya maisha ya kipindi cha miaka 10 ijayo, msiichague kabisa CCM ndugu zanguni, ni waharibifu sana!!
Atakae Ichagua Ccm Mwaka Huu Apigwe Tu Maana Hatuna Njia Nyingine Kama Ni Kuwaelimisha Tumewaelemisha Vya Kutosha.
Itafikia wakati hata wake zenu wakishindwa kushika mimba mtailaumu ccm
Amri ya 11 usiwe ccm
Hizo kauli nyingune utachunwa ngozi bila ganzi, huu mwaka haujakaa vizuri kwa jamaa
nenda kajambe huko ndio uje na linaloelewekaAcha upunguani rafiki, wewe umeshiba hapo unafikiri kila mtu amevimbiwa kama wewe? Jaribu kujifikirisha basi hata kidogo, ingawaje unaonekana ni mnufaika wa hizi sera na ukandamizaji wa kishetani.
Ungetueleza ni namna gani Padre Slaa na CHADEMA watawaletea mlo
nenda kajambe huko ndio uje na linaloeleweka
KWANINI UNAMLAZIMISHA MTU MATAPISHI YAKO kila mtu ana uhuru wake maana sikuelewi kuwa na akili za kushikiwa eti kuna chama kisichokopa au kula RUZUKU
KM hutaki Topic yako ichangiwe ifunge basi lakini sisi sio bendera kufuata majibu yako uliyonayo kichani tayari