Ccm wamehuzunika,hawana amani,hawana dira,wanahangaika,wamepoteza matumaini na kila aina ya majonzi.Hii ni kutokana na mtu wao kuvuliwa vyeo vyake.Huyu mtu alikuwa anatumika sana na CCm ili kisambaratisha CDM.Hakuna mwanaccm aliyeshindwa kumtetea zzk kila mgogoro unaotokea katika CDM unaomhusu ZZK.CCM wanafikia hatua ya kusema CHADEMA inamuogopa Zitto, to what extent inamuogopa ZZK?Who is Zitto? ZZk sio malaika kwamba always yeye yuko right,CDM ni taasisi na sio zzk.CCM wanahuzuni baada ya plan yao kufeli.
Bora kugoma kupiga kura kuliko kuichagua ccm ili iendlee kubaka,kula rushwa,kuuza madawa ya kulevya,kufanya ujangili,kufanya ufisadi nk siko tayari kwa hilo,CDM hata ikisambaratika leo(siombei iwe hivyo) lakini siko tayari kuungana na mafisadi,wabakaji,walarushwa,wauaji,majangili,mauza madawa ya kulevya CCM.
Wabakaji,mafisadi,majangili oyeeeeee?