Ukipita mtaani unamkuta bibi kizee anajiita eti yeye mwanaccm, kwenye mikutano kijana anajiita eti yeye mwanaccm, bungeni mbunge wa muhula mmoja badaye kapotea naye eti mwanaccm. Kuwa mwanaccm ni kufaidi kile wanachokula wanaccm pure waliopo lumumba na magogoni. Wanaccm kwa hapa dar wanaishi magogoni, oyesterbay, masaki, mbezi beach na mikocheni, kwa Arusha wapo sana Njiro na mbeya wanapatikana forest, kule Kigoma wapo Mjimwema na Kilimahewa, wanaccm hutembelea Vogue, shangingi mpya, wale wa mikoani ndo hutumia prado. Je we unayejiita mwana ccm unatembelea nin na unaishi wapi? Hebu tazama list hii fupi ya wanaccm halisi.. JK, Kinana, Lowassa, Sumaye, Wassira, Lukuvi, Bilali, Pinda, Makinda, Ndugai, Membe, Sitta, Mwakyembe, Nape, Shigella, Buriani, Marmo, Ridhiwani, Mama Salma, Welema, Mwema, Manumba, Kova, Zoka, na wengne wachache huongezeka hapo. Waliobakia akina Mwigulu na wabunge ni wapga debe au michicha ya kiangaz unapotea muda c mrefu hatutawasikia tena wanatumika kwa manufaa flan then wanadilitiwa.