Kifo cha CCM Ifakara; JK, Makinda wameshuhudia

Neema William

Senior Member
Jan 3, 2012
171
76
RAIS Kikwete hivi karibuni alishuhudia Live kifo cha CCM yake kule Ifakara katika mazishi ya mbunge wa viti maalum chadema Rejia Mtema.

ni ukweli ulio wazi kuwa kutokan na picha ile jamani CCM bye bye.

kazi ilianza pale msafara uliobeba mwili wa Rejia Mtema, kufika Kilombero mkoa wa Morogoro, msafara huo uliokuwa ukiongozwa na spika wa Bunge ana makinda na baadhi ya mawaziri wengine wa serikali ya Jk akiwemo Stephan Wasira, njia nzima ilikuwa ji salamu za chadema , ilikuwa bomba la mtihani kwa wanaccm kuitikia salamu ile ama Laah, nadhani ndio maana hata wakati wa kuaga mwili wa mbunge wa CCM Solomon Sumari makinda alidai kuwa tusichanganye siasa wakati wa misiba, its True aliliona hilo lakini wale ni wananchi wapenda chadema,ki ujumla kilombero , ifakara ni ngome ya chadema,

Kipigo kingine kwa CCM ni pale makaburini ambapo baada ya mazishi Rais na msafara wake waliondoka , na alipoanza kuondoka DK Slaa wananchi walianza kuimba Rais Rais, na kuwaancha vinywa wazi CCM,
watanzania wa sasa hawana woga tena kama zamani, hivi sasa ukikosea unapewa Kubwa tu

pia Tukio Lingine ni pale mbunge wa wa CCM Abdul Mteketa alipozomewa Live mbele ya viongozi wa kitaifa wa CCM, jamani picha Hii yote imemdhihirishia wazi Jk kuwa kifo cha CCM kimefika.
 
ni kawaida siku zote marehemu upendwa na kwenye msiba mwenye nguvu ni yule mwenye msiba. Mimi nadhani kama alivyosema Spika Makinda tusitumie misiba.
 
Kipigo kingine kwa CCM ni pale makaburini ambapo baada ya mazishi Rais na msafara wake waliondoka , na alipoanza kuondoka DK Slaa wananchi walianza kuimba Rais Rais, na kuwaancha vinywa wazi CCM,
watanzania wa sasa hawana woga tena kama zamani, hivi sasa ukikosea unapewa Kubwa tu

mwenye macho haambiwi tazama..............
 
ni kawaida siku zote marehemu upendwa na kwenye msiba mwenye nguvu ni yule mwenye msiba. Mimi nadhani kama alivyosema Spika Makinda tusitumie misiba.

tasiri sahihi ya siasa ni kuwa siasa ni maisha ya kila siku....................na misiba ni sehemu ya hayo maisha................
 
hongereni ila hiyo haitoshi elimu ya uraia, wajibu na haki za mpiga kura na kulinda na kutetea sera za chama ni muhimu, watu wachukue kadi zaidi wajifunze sera na kuzieneza ili uchaguzi ukifika wawe wakamilika

Sahihi kabisa mkuu!elimu ya uraia inahitajika sana,mimi wewe na yule popote pale tulipo itolewe!cdm nao waache kujikita sana mijini,pembezoni nako kuna kura,matawi zaidi na yawe rahisi kufikika,kadi,scuff nk zikosekane matawini!hv vitu upatikanaji wake mgumu sana hata mijini,sijuhi kwa nini!vimahamsha hamasa hv!Moro yetu ina kila kitu ila imestuck kutokana na viongozi hovyo hovyo wenye mipango hovyo hovyo,tunahitaji waje kina Regia(R.I.P) zaidi ya 20 kuiamsha na kuikomboa Moro yetu na Tz kwa jumla,naamini ikiwa hivyo Regia nae atafarijika huko alipo
 
ni kawaida siku zote marehemu upendwa na kwenye msiba mwenye nguvu ni yule mwenye msiba. Mimi nadhani kama alivyosema Spika Makinda tusitumie misiba.

Mkuu hata ukiangalia walivyomuaga huyo mbunge wao aliyefariki hapo jana walifanya kuleta watu na kuwavika tshirt na kepu za ccm kama kawaida yao wakati cdm watu walienda wenyewe tena kwa cost zao
 
Sahihi kabisa mkuu!elimu ya uraia inahitajika sana,mimi wewe na yule popote pale tulipo itolewe!cdm nao waache kujikita sana mijini,pembezoni nako kuna kura,matawi zaidi na yawe rahisi kufikika,kadi,scuff nk zikosekane matawini!hv vitu upatikanaji wake mgumu sana hata mijini,sijuhi kwa nini!vimahamsha hamasa hv!Moro yetu ina kila kitu ila imestuck kutokana na viongozi hovyo hovyo wenye mipango hovyo hovyo,tunahitaji waje kina Regia(R.I.P) zaidi ya 20 kuiamsha na kuikomboa Moro yetu na Tz kwa jumla,naamini ikiwa hivyo Regia nae atafarijika huko alipo

Well well well said mkuu!
 
wee Molemo na wenzako,jibuni hoja acheni kuruka ruka.nyie ndio wafa maji hamjijui mlipo wala muendako.kila siku wafadhili wenu wanafata nini ikulu?wamefurahia juice ee,tutapa ushamba boy wasihangaike kuomba apointment kutupata.

Mfagia choo wa Nepi utamjua tu.Wala hajifichi.
 
ni kawaida siku zote marehemu upendwa na kwenye msiba mwenye nguvu ni yule mwenye msiba. Mimi nadhani kama alivyosema Spika Makinda tusitumie misiba.

Kweli we ni kenge koz hata ufahamu ni wa kenge, yani kwenye jua we unasema mvua. Dah! Washabiki wa magamba mna kazi kweli kweli. BRAVO CHADEMA.
 
12 Reactions
Reply
Back
Top Bottom