Mkomamanga
JF-Expert Member
- Dec 9, 2011
- 815
- 189
Few weeks ago alisema atakufa rais wa nchi yoyote watu wakabeza, wakasema may be Mugabe, Mandela na wengneo walio wagonjwa ila nijuavyo Bingu hakuwa mgonjwa kiasi cha kutokuwepo ktk list ya makisio ya watakaokufa....sasa waliopinga na kubeza unabii ule wanasemaje?
Mtu yeyote aweza kusema siku za hivi karibuni kitatokea hiki maana kifo ni lazima awe rais au awe nani. Siku za hivi karibuni atafariki rais mwingine afrika...utabiri wangu!!!