Sabry001
JF-Expert Member
- Jun 28, 2011
- 1,064
- 353
Few weeks ago alisema atakufa rais wa nchi yoyote watu wakabeza, wakasema may be Mugabe, Mandela na wengneo walio wagonjwa ila nijuavyo Bingu hakuwa mgonjwa kiasi cha kutokuwepo ktk list ya makisio ya watakaokufa....sasa waliopinga na kubeza unabii ule wanasemaje?